CHAI CHUNGU
JF-Expert Member
- Feb 20, 2012
- 7,113
- 930
Mbwana samata anakuja next week kumwaga wino mkuu!Manji mwisho wa matatizo anaweza akamvuta drogba nini
Mbwana samata anakuja next week kumwaga wino mkuu!Manji mwisho wa matatizo anaweza akamvuta drogba nini
Hiyo ndio yanga bana!Duh Manji anataka kuua kama mpaka Maximo ndani kweli pesa mwanaharamu.:drama:
Mbwana samata anakuja next week kumwaga wino mkuu!
Mlango atakao ingilia Maximo asiufunge. Anaweza tokea huo huo tena kwa speed kali...amuulize Profesa Papic!
Hiyo ndio yanga bana!
Mbwana samata anakuja next week kumwaga wino mkuu!
Mlango atakao ingilia Maximo asiufunge. Anaweza tokea huo huo tena kwa speed kali...amuulize Profesa Papic!
acha masihara wewe mi mwanachama mwenzio.
Sunzu?Sunzu mbona shati tuu?ata bure mkuu!Yebo mnatiishaa! Mbwana Samata, Drogba, Okwi, Sunzu, yo-nje wote jangwani. Du jangwa limegeuka bustani.
Hivyo ni vijisent tu.Hata Okwi anaweza kusainishwa pia. Shs bilioni 2 kwa Manji ni hela ya chai tu. Ona alivyomfanya Yondani na sasa anavyoivuruga Simba sasa...... Pesa ni balaa.
Hii nimeipata Michuzi Blog. Soma hapa:
MICHUZI: BREAKING NYUZZZZZZZ........: Marcio Maximo kutua Yanga
Maoni: Yusuph Manji ameanza kuonesha makucha yake. Tutegemee makali zaidi.
Sema hivi fisadi tunakutakia maisha marefu.....ama kweli mwanaume alie mbaka mama yako ndiyo ukazaliwa utake usitake utamwita baba tu....hahahahKudadeki lazima simba wapakatwe chezea pesa wewe.Manji tunakutakia maisha marefu.Ubingwa wa Afrika huo unanukia