Maximo alizoea timu ya Taifa ambayo alikuwa na wigo mpana wa kuchagua wachezaji, sasa nyie mnataka kusajili 30 tu halafu ndo awe anaogelea kwenye idadi ndogo namna hiyo huyo ndo mtamfukuza kabla hata msimu haujaisha, wanaosema wachezaji walikuwa hawajui kupiga pasi mnaongelea wachezaji gani, humu humu kuna uzi unaongelea malegend kama Masha, sana sana alimtoa tu Tegete inabidi aongezewe mkataba tena ili aendane na Maximo. Wachezaji wengine mnaotakiwa kusajili ni kina Dihile, Mwarami, Henry Joseph, Ivo na wengine vipenzi vya Maximo, namuonea huruma ndugu yangu Chuji lazima apigwe benchi, akija na kiingereza chake kile, I want players who are patriotic, displined and Young that can determine the future of Dar Young Africans Club, huku nyie mshachukua mijamaa ina miaka kibao.
Kweli kipigo cha tano bila si mchezo,mnaweweseka hadi sasa hadi mmeamua kuvunja timu kuanzai uongozi hadi wachezaji, isije kuwa mbwembwe za uchaguzi, maana hata mwaka jana ilikuwa hivi hivi, Asamoah, Kiiza na Fabrigas lakini matokeo yake hata nafasi ya tatu hamkupata, jitahidini kusajili maana JKT ruvu na Azam wanawasubiri na sisi tunakuja kumalizia na kina Kigi Makasi hao hao mliowaacha, hukumbuki Amir, Banka mlivyowaacha kwamba viwango vimeisha lakini baada ya kusajiliwa na Simba viwango vyao vilikuwa ni vya hatari.Nani kakwambia huwakumbuki kina Kigi(mmejifanya kumchukua wakati keshaisha) umelisahau lile Chama lililowatoa jasho kina Etoo kule Younde,kwa taarifa yako ameandaliwa bonge la mchanganyiko, damu changa+damu ya wastani i.e. Simon Msuva,David Luhende,Juma Abdul,Kiiza,Chikwarakwara,Owen Kasule etc....kudadadeki Yanga mwakani kama T.P Mazembe
maximo hana jipya hapo sasa ni kutaka kuwapa ujiko makocha wa kibongo maana wataonesha sasa kile walichokuwa wanakidai tutafungwa hadi na oljoloNina mtazamo tofauti, alipokuwa taifa stars alifanya nini cha tanzania kujivunia katika historia ya soka duniani
Sema hivi fisadi tunakutakia maisha marefu.....ama kweli mwanaume alie mbaka mama yako ndiyo ukazaliwa utake usitake utamwita baba tu....hahahah
Bana eeeeeee,hili ni likisosi la"manichesta"au?Teh teh.
Ngoja kwanza nikutajie kikosi mkuu.
1.Mustafa Bathez.
2.Salumu Telela.
3.Oscar Joshua.
4.Kelvin Yondani-mtoto wa Mwanza.
5.Canavaro wa bongo.
6.Chuji.
7.Nizar.
8.Niyonzima Haruna.
9.Chichili Chikwarakwara
10.Hamisi Kiiza Diego
11.Owen Kasule.
Kwenye Bench:
12.Said mohamed.
13.Teita
14.Nurdin Bakari
15.Gumbo
16.Tegete
17.Kijiko
18.Bakari Mbegu.
Kocha mkuu-Maximo.
Kocha msaidizi-Minziro.
Dr-Sufiani.
Mwenyekiti wa club-Manji.
Uwanja-Kaunda.
Idadi watazamaji-22,000.
Kwa mziki huu nani atatoka pale kaunda?
Acha bana!
Kama hawataki kuukubali ukweli wapotezee mkuu!mimtu inavichwa vigumu kama nazi lol!Nani kakwambia huwakumbuki kina Kigi(mmejifanya kumchukua wakati keshaisha) umelisahau lile Chama lililowatoa jasho kina Etoo kule Younde,kwa taarifa yako ameandaliwa bonge la mchanganyiko, damu changa+damu ya wastani i.e. Simon Msuva,David Luhende,Juma Abdul,Kiiza,Chikwarakwara,Owen Kasule etc....kudadadeki Yanga mwakani kama T.P Mazembe
Ukiiga kunya kwa tembo...............Ah mbona ndo zao,hawakuishia kwa makocha tu,walikwenda kuiga mpaka wachezaji kwani tulivyomsajili Mwape wao wakamsajili Sunzu,tulivyomvuta Kiiza wao wakahangaikahangaika wakaangukia kwa Derick Walulya sasa waige na hapo sasa kama kweli bado wanazo zile rambirambi za Pettyy(R.I.P
Tunaanza na kagame cup kwanza!All the best Yanga, chukueni Champions basi!
Nina mtazamo tofauti, alipokuwa taifa stars alifanya nini cha tanzania kujivunia katika historia ya soka duniani
Teh teh.
Ngoja kwanza nikutajie kikosi mkuu.
1.Mustafa Bathez.
2.Salumu Telela.
3.Oscar Joshua.
4.Kelvin Yondani-mtoto wa Mwanza.
5.Canavaro wa bongo.
6.Chuji.
7.Nizar.
8.Niyonzima Haruna.
9.Chichili Chikwarakwara
10.Hamisi Kiiza Diego
11.Owen Kasule.
Kwenye Bench:
12.Said mohamed.
13.Teita
14.Nurdin Bakari
15.Gumbo
16.Tegete
17.Kijiko
18.Bakari Mbegu.
Kocha mkuu-Maximo.
Kocha msaidizi-Minziro.
Dr-Sufiani.
Mwenyekiti wa club-Manji.
Uwanja-Kaunda.
Idadi watazamaji-22,000.
Kwa mziki huu nani atatoka pale kaunda?
Acha bana!