Maximo Kocha Mpya Yanga

Maximo Kitu gani bwana Yanga hata aje Morinyo na Sir Feg hakuna kitu,
 
Maximo alizoea timu ya Taifa ambayo alikuwa na wigo mpana wa kuchagua wachezaji, sasa nyie mnataka kusajili 30 tu halafu ndo awe anaogelea kwenye idadi ndogo namna hiyo huyo ndo mtamfukuza kabla hata msimu haujaisha, wanaosema wachezaji walikuwa hawajui kupiga pasi mnaongelea wachezaji gani, humu humu kuna uzi unaongelea malegend kama Masha, sana sana alimtoa tu Tegete inabidi aongezewe mkataba tena ili aendane na Maximo. Wachezaji wengine mnaotakiwa kusajili ni kina Dihile, Mwarami, Henry Joseph, Ivo na wengine vipenzi vya Maximo, namuonea huruma ndugu yangu Chuji lazima apigwe benchi, akija na kiingereza chake kile, I want players who are patriotic, displined and Young that can determine the future of Dar Young Africans Club, huku nyie mshachukua mijamaa ina miaka kibao.

Nani kakwambia huwakumbuki kina Kigi(mmejifanya kumchukua wakati keshaisha) umelisahau lile Chama lililowatoa jasho kina Etoo kule Younde,kwa taarifa yako ameandaliwa bonge la mchanganyiko, damu changa+damu ya wastani i.e. Simon Msuva,David Luhende,Juma Abdul,Kiiza,Chikwarakwara,Owen Kasule etc....kudadadeki Yanga mwakani kama T.P Mazembe
 
NI VIZURI TUKAJIKUMBUSHA KUWA, MAXIMO ALIKUWA AKIKAA NA TIMU YA TAIFA KWA CHINI YA WIKI MBILI KWA WASTANI, MARA CHACHE SANA KWA MWAKA.

Kama kweli akija Yanga, atakuwa na yanga kwa muda mwingi sana na hivyo ndoto ya kuliendeleza soka kukua kwa kasi. Kitendo cha Rage wa simba kufoka sana kwa HASIRA katika vyombo vya Habari, ni dalili mbaya kwa SIMBA Kwani Rage anaheshimika sana na ni mtu makini ambaye hudharau mambo yasiyo na maana.

Wiki hii rage amedhihirisha kuwa, YANGA Inaweza fanya KUFURU Msimu ujao. "Stay tuned".
 
kila la kheri timu yangu Yanga.....ntakupenda jinsi ulivyo,hata ukifungwa magor 100,ntabaki na wewe
 
Nani kakwambia huwakumbuki kina Kigi(mmejifanya kumchukua wakati keshaisha) umelisahau lile Chama lililowatoa jasho kina Etoo kule Younde,kwa taarifa yako ameandaliwa bonge la mchanganyiko, damu changa+damu ya wastani i.e. Simon Msuva,David Luhende,Juma Abdul,Kiiza,Chikwarakwara,Owen Kasule etc....kudadadeki Yanga mwakani kama T.P Mazembe
Kweli kipigo cha tano bila si mchezo,mnaweweseka hadi sasa hadi mmeamua kuvunja timu kuanzai uongozi hadi wachezaji, isije kuwa mbwembwe za uchaguzi, maana hata mwaka jana ilikuwa hivi hivi, Asamoah, Kiiza na Fabrigas lakini matokeo yake hata nafasi ya tatu hamkupata, jitahidini kusajili maana JKT ruvu na Azam wanawasubiri na sisi tunakuja kumalizia na kina Kigi Makasi hao hao mliowaacha, hukumbuki Amir, Banka mlivyowaacha kwamba viwango vimeisha lakini baada ya kusajiliwa na Simba viwango vyao vilikuwa ni vya hatari.
 
Nina mtazamo tofauti, alipokuwa taifa stars alifanya nini cha tanzania kujivunia katika historia ya soka duniani
maximo hana jipya hapo sasa ni kutaka kuwapa ujiko makocha wa kibongo maana wataonesha sasa kile walichokuwa wanakidai tutafungwa hadi na oljolo
 
Unawivu namna hiyo kudadeki mimba inawahusi mwaka huu mtakula 9 kama miezi mnayobebaga
Sema hivi fisadi tunakutakia maisha marefu.....ama kweli mwanaume alie mbaka mama yako ndiyo ukazaliwa utake usitake utamwita baba tu....hahahah
 
Teh teh.
Ngoja kwanza nikutajie kikosi mkuu.
1.Mustafa Bathez.
2.Salumu Telela.
3.Oscar Joshua.
4.Kelvin Yondani-mtoto wa Mwanza.
5.Canavaro wa bongo.
6.Chuji.
7.Nizar.
8.Niyonzima Haruna.
9.Chichili Chikwarakwara
10.Hamisi Kiiza Diego
11.Owen Kasule.
Kwenye Bench:
12.Said mohamed.
13.Teita
14.Nurdin Bakari
15.Gumbo
16.Tegete
17.Kijiko
18.Bakari Mbegu.
Kocha mkuu-Maximo.
Kocha msaidizi-Minziro.
Dr-Sufiani.
Mwenyekiti wa club-Manji.
Uwanja-Kaunda.
Idadi watazamaji-22,000.
Kwa mziki huu nani atatoka pale kaunda?
Acha bana!
Bana eeeeeee,hili ni likisosi la"manichesta"au?
Mkuu unataka kusababisha huyu simba wa maonyesho ajitoe lol!
 
Nani kakwambia huwakumbuki kina Kigi(mmejifanya kumchukua wakati keshaisha) umelisahau lile Chama lililowatoa jasho kina Etoo kule Younde,kwa taarifa yako ameandaliwa bonge la mchanganyiko, damu changa+damu ya wastani i.e. Simon Msuva,David Luhende,Juma Abdul,Kiiza,Chikwarakwara,Owen Kasule etc....kudadadeki Yanga mwakani kama T.P Mazembe
Kama hawataki kuukubali ukweli wapotezee mkuu!mimtu inavichwa vigumu kama nazi lol!
 
Ah mbona ndo zao,hawakuishia kwa makocha tu,walikwenda kuiga mpaka wachezaji kwani tulivyomsajili Mwape wao wakamsajili Sunzu,tulivyomvuta Kiiza wao wakahangaikahangaika wakaangukia kwa Derick Walulya sasa waige na hapo sasa kama kweli bado wanazo zile rambirambi za Pettyy(R.I.P
Ukiiga kunya kwa tembo...............
 
Nyie sajilini sie vitendo uwanjani hata akija masikio hana jipya si alikuwepo kwetu wakawaida xana
 
Vile vizee vya yanga ameshavipa posho? maana vitazua mgogoro sasa hivi, vikiona tu hakuna maslahi vitateka timu
 
Teh teh.
Ngoja kwanza nikutajie kikosi mkuu.
1.Mustafa Bathez.
2.Salumu Telela.
3.Oscar Joshua.
4.Kelvin Yondani-mtoto wa Mwanza.
5.Canavaro wa bongo.
6.Chuji.
7.Nizar.
8.Niyonzima Haruna.
9.Chichili Chikwarakwara
10.Hamisi Kiiza Diego
11.Owen Kasule.
Kwenye Bench:
12.Said mohamed.
13.Teita
14.Nurdin Bakari
15.Gumbo
16.Tegete
17.Kijiko
18.Bakari Mbegu.
Kocha mkuu-Maximo.
Kocha msaidizi-Minziro.
Dr-Sufiani.
Mwenyekiti wa club-Manji.
Uwanja-Kaunda.
Idadi watazamaji-22,000.
Kwa mziki huu nani atatoka pale kaunda?
Acha bana!

Kama ni haya maboga pori basi safari hii mkae mkao wa kupakatwa 7-0
 
Maximo hana lolote nawala Yanga isidhani ndo imepata mwarobaini wa matatizo yake kisoka
 
Jamani eti kweli Maximo huko kwao ni mvuvi wa samaki? Kama wale wa pale ferry! Yanga mnatuletea wavuvi? Ni lazima mchabangwe tena na maximo na manji wenu.
 
Jamani huyu manji da jaman,. Wacha nikaongeze lijezi la nne la yanga,. Mtani huniwezi we unaela za kununua penat3 ukicheza na yanga,. Umeishiwa ukaenda sudan wachezaj wakashindia maziwa ya ngamia na ugali,. Ukarudi bongo ukala hela ya rambirambi da simba mmefuria,.
 
Back
Top Bottom