Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 59,631
- 80,531
Ruttashobolwa, hamna uongo hicho kilichoandikwa na huyo wanayetafuta jina lake kamili kina ukweli 99%! Kinachofanywa sasa ni serikali ya CCM kujaribu kubaki madarakani kwa udi na uvumba 2020 na kuendelea.