klorokwini
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 8,648
- 5,140
kwakweli kiongozi, hata kama ni janga la kitaifa,
lakini inakera mpaka inapitiliza,
Halafu mbaya zaidi anakupigia akikwambia,
''nimekuta missed calls zako, kwani ulikuwa unasemaje''?
hapo ujue labda ni baada ya masaa kama mawili hivi!!!!!!
Hao ndio wake zetu bana! yaani mtu unaweza kuwa unakabwa njiani jamaa amedai mshiko, umejikaza unampigia waifu simu ili alete mshiko eneo la tukio, kumbe waifu simu kaweka kwenye handbag na yeye yuko kwenye kioo anaweka make up. siku ya pili anajifanya kukulilia msibani hehehe hii tabia hata Lizzy apinge wanayo wanawake wote.