Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,778
- 59,138
Natumaini wote mmekua na jumapili njema!
Nwy kwa ndugu/jamaa/marafiki na mwenzi wako nini unachukia sana linapokuja swala la mawasiliano (simu au hata email) ?!
Binafsi sipendi
1) unapompigia mtu alafu asipokee kwa sababu yoyote ile alafu hata baadae ashindwe kukupigia au hata kukutext for no reason at all (hamna matatizo ya charge wala credit) mpaka umtafute tena mwenyewe.
2)Unapompigia mtu anakwambia yuko bize atakutafuta akimaliza mambo yake alafu hafanyi hivyo.
3)Mtu anaejibu text/email ndefu ya maana kwa neno moja...Owkey..Poa..Sure and the likes !Mara moja moja mi hua nadondoka hapa!
4)Mtu asiyepokea simu hata kutwa bila kukupa sababu ya kuacha kupiga...pokea sema huwezi/hutaki kuongea.Hapa kama sio kawaida mtu anaweza patwa na wasiwasi!
5)Mtu anaekasirika ukimwambia kuna simu nyingine unahitaji kupokea/piga mara moja!6)Mtu anaebeep bila sababu ya msingi.
7)Mtu anaeforwad email/text ndeeefu zisizo na maana.
8)Mtu anaeomba kutumia simu yako alafu anaanza kuangalia salio au kuchungulia msg zako(huyu sio mpenzi)...rafiki tu au ndugu.
9)Mtu aaetoa namba yangu ya simu kwa mtu anaeiulizia bila kuniuliza mimi kwanza.
10)Mtu asiejua kujibu msg za watu wengine ila yake ukiipotezea tabu.
Chache zinazonihusu naanza kujirekebisha!!
So wewe zipi sinakuhusu na zipi hupendi..........?!
Nwy kwa ndugu/jamaa/marafiki na mwenzi wako nini unachukia sana linapokuja swala la mawasiliano (simu au hata email) ?!
Binafsi sipendi
1) unapompigia mtu alafu asipokee kwa sababu yoyote ile alafu hata baadae ashindwe kukupigia au hata kukutext for no reason at all (hamna matatizo ya charge wala credit) mpaka umtafute tena mwenyewe.
2)Unapompigia mtu anakwambia yuko bize atakutafuta akimaliza mambo yake alafu hafanyi hivyo.
3)Mtu anaejibu text/email ndefu ya maana kwa neno moja...Owkey..Poa..Sure and the likes !Mara moja moja mi hua nadondoka hapa!
4)Mtu asiyepokea simu hata kutwa bila kukupa sababu ya kuacha kupiga...pokea sema huwezi/hutaki kuongea.Hapa kama sio kawaida mtu anaweza patwa na wasiwasi!
5)Mtu anaekasirika ukimwambia kuna simu nyingine unahitaji kupokea/piga mara moja!6)Mtu anaebeep bila sababu ya msingi.
7)Mtu anaeforwad email/text ndeeefu zisizo na maana.
8)Mtu anaeomba kutumia simu yako alafu anaanza kuangalia salio au kuchungulia msg zako(huyu sio mpenzi)...rafiki tu au ndugu.
9)Mtu aaetoa namba yangu ya simu kwa mtu anaeiulizia bila kuniuliza mimi kwanza.
10)Mtu asiejua kujibu msg za watu wengine ila yake ukiipotezea tabu.
Chache zinazonihusu naanza kujirekebisha!!
So wewe zipi sinakuhusu na zipi hupendi..........?!