Post namba 2 ya huu uzi ndio inaniwakilisha mimi. Nachukia mzembe ananipigia sim halaf hana cha kuongea anabaki sjui mwaka huu nimeloose weight, sjui shamba la urisi tumelima karanga, aaaargh! for klorokwin's sake the world should stop this.Embu mwaga nondo acha uchoyo!Huko holidei ndo wapi?!
Post namba 2 ya huu uzi ndio inaniwakilisha mimi. Nachukia mzembe ananipigia sim halaf hana cha kuongea anabaki sjui mwaka huu nimeloose weight, sjui shamba la urisi tumelima karanga, aaaargh! for klorokwin's sake the world should stop this.
Mkuu hili si tatizo, hili ni janga la taifa! wanasema tusigeneralize, lakini uzembe huu wanao wanawake wote! Tuwavumilie tu kwakuwa tunahitaji ile kitu jua likitua.Vipi ile hali ya kumpigia mwanamke simu,kisha haipokelewei!!!
unakuja kumuuliza tatizo ni nini, anakwambia ''sikuisikia ikiita,
nilikuwa nimeiweka kwenye mkoba/poch''i!!!!
Kiukweli huwa nakereka sana!!!!
Mbona mimi sijawahi kukwambia hivyo?!Acha kugeneralize!!Mkuu hili si tatizo, hili ni janga la taifa! wanasema tusigeneralize, lakini uzembe huu wanao wanawake wote! Tuwavumilie tu kwakuwa tunahitaji ile kitu jua likitua.
Mkuu hili si tatizo, hili ni janga la taifa! wanasema tusigeneralize, lakini uzembe huu wanao wanawake wote! Tuwavumilie tu kwakuwa tunahitaji ile kitu jua likitua.
Zote hizo zinanikera ila binafsi napenda mtu anitumie msg kuliko anipigie. Sipendi kuongea ongea na simu.
Michelle...:A S 109::A S 109:.............haoni kundule....l.o.l
Lizzy... hiyo namba 2 nakumbuka sana kuna mtu alinifanyia i was in Nairobi muda sasa umepita;Natumaini wote mmekua na jumapili njema!
Nwy kwa ndugu/jamaa/marafiki na mwenzi wako nini unachukia sana linapokuja swala la mawasiliano (simu au hata email) ?!
Binafsi sipendi
1) unapompigia mtu alafu asipokee kwa sababu yoyote ile alafu hata baadae ashindwe kukupigia au hata kukutext for no reason at all (hamna matatizo ya charge wala credit) mpaka umtafute tena mwenyewe.
2)Unapompigia mtu anakwambia yuko bize atakutafuta akimaliza mambo yake alafu hafanyi hivyo.
3)Mtu anaejibu text/email ndefu ya maana kwa neno moja...Owkey..Poa..Sure and the likes !Mara moja moja mi hua nadondoka hapa!
4)Mtu asiyepokea simu hata kutwa bila kukupa sababu ya kuacha kupiga...pokea sema huwezi/hutaki kuongea.Hapa kama sio kawaida mtu anaweza patwa na wasiwasi!
5)Mtu anaekasirika ukimwambia kuna simu nyingine unahitaji kupokea/piga mara moja!6)Mtu anaebeep bila sababu ya msingi.
7)Mtu anaeforwad email/text ndeeefu zisizo na maana.
8)Mtu anaeomba kutumia simu yako alafu anaanza kuangalia salio au kuchungulia msg zako(huyu sio mpenzi)...rafiki tu au ndugu.
9)Mtu aaetoa namba yangu ya simu kwa mtu anaeiulizia bila kuniuliza mimi kwanza.
10)Mtu asiejua kujibu msg za watu wengine ila yake ukiipotezea tabu.
Chache zinazonihusu naanza kujirekebisha!!
So wewe zipi sinakuhusu na zipi hupendi..........?!
Ila wengi hawaelewi hata umwambie mara ngapi na usipopokea analalamika, sometime hizi simu ni kero kubwa
Natumaini wote mmekua na jumapili njema!
Nwy kwa ndugu/jamaa/marafiki na mwenzi wako nini unachukia sana linapokuja swala la mawasiliano (simu au hata email) ?!
Binafsi sipendi
1) unapompigia mtu alafu asipokee kwa sababu yoyote ile alafu hata baadae ashindwe kukupigia au hata kukutext for no reason at all (hamna matatizo ya charge wala credit) mpaka umtafute tena mwenyewe.
2)Unapompigia mtu anakwambia yuko bize atakutafuta akimaliza mambo yake alafu hafanyi hivyo.
3)Mtu anaejibu text/email ndefu ya maana kwa neno moja...Owkey..Poa..Sure and the likes !Mara moja moja mi hua nadondoka hapa!
4)Mtu asiyepokea simu hata kutwa bila kukupa sababu ya kuacha kupiga...pokea sema huwezi/hutaki kuongea.Hapa kama sio kawaida mtu anaweza patwa na wasiwasi!
5)Mtu anaekasirika ukimwambia kuna simu nyingine unahitaji kupokea/piga mara moja!6)Mtu anaebeep bila sababu ya msingi.
7)Mtu anaeforwad email/text ndeeefu zisizo na maana.
8)Mtu anaeomba kutumia simu yako alafu anaanza kuangalia salio au kuchungulia msg zako(huyu sio mpenzi)...rafiki tu au ndugu.
9)Mtu aaetoa namba yangu ya simu kwa mtu anaeiulizia bila kuniuliza mimi kwanza.
10)Mtu asiejua kujibu msg za watu wengine ila yake ukiipotezea tabu.
Chache zinazonihusu naanza kujirekebisha!!
So wewe zipi sinakuhusu na zipi hupendi..........?!
Hahahha...bora najijua!!Ila namba kumi hainihusu hata kidogo....
Naona na wewe unaprefer text kama Hus..nipe namba yako nikutext sasa hivi ufurahi!
You are an exceptional baby! thats why my only me chose only u. should i flirt more? am so romantic at least for this thread.Mbona mimi sijawahi kukwambia hivyo?!Acha kugeneralize!!
Hapo juu labda anadhani hayo ndo maongezi unayotaka...kama sio mwongoze kwenye ule upande unaotaka wewe !
You are an exceptional baby! thats why my only me chose only u. should i flirt more? am so romantic at least for this thread.
bek to your comment: Nop just mtu ni tabia yake tu. Infact samtaimu akili yake inamdanganya kwamba akiongea na wewe sana ndio anajenga ukaribu na wewe kumbe anamaliza charge ya simu yake tu. Mwengine unamwambia kabisa hii tabia yako inaboa anaamua kukuwekea tinted eti umemzarau.