Kati ya vituo 24 ambavyo vimeshatoa matokeo hadi sasa, CHADEMA imeongoza kwenye vituo 20, CCM 4
Kile chumba alilipiwa mwenye kitiwa chama cha mabwepande akapewa na suti...eneo gani hilo linaitwa chumba B??
wataisoma number MWENDO MDUNDO CDM 2015
tupe matokeo...bwagamoyo napo mambo yamechacha, hali si nzuri
Mpaka sasa Bangata huko Arumeru Magharibi Chadema inaongoza kwa tofauti ya kuru 150, Daraja mbili kwa tofauti ya kura 1240. Atown ni full shangwe, ngome ipo salama. Magamba chaliii
Huko Rombo ni
CCM 400
CHADEMA 767
vituo 11 chadema 9 na ccm 2...
Mpaka sasa daraja mbili Arusha mjini CHADEMA Inaongoza kwa kura 1747 ccm kura 775 katika vituo 30 kati ya 39 ambavyo ni tayari yamebandikwa
Kwisha habari yao lindeni kura za wana rombo...Uwiano wa Kura:
ccm 800
CHADEMA 1,300
Tunasubiri matokeo ya vituo 6 tu kukamilisha kazi. CCM wameongoza kwenye vituo vikubwa ndiyo maana hatujaachana kwa kura nyingi sana,
Daraja mbili matokeo yote ni 1980 Cdm na 763 ccm. Chadema tumeshinda tunasubiri kutangazwa. Source Henry Kileo. Katibu cdm Kinondoni.
Msalato dodoma.cdm 236, ccm 474.matokeo kamili
uwiano wa kura:
Ccm 800
chadema 1,300
tunasubiri matokeo ya vituo 6 tu kukamilisha kazi. Ccm wameongoza kwenye vituo vikubwa ndiyo maana hatujaachana kwa kura nyingi sana,