Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daraja 2,chumba cha kwanza,Chadema 74,CCM 21.Bado uhesabuji unaendelea!kulikuwa na vurugu za hapa na pale,ccm walitaka kuingiza maboxs yenye kura bandia!wananchi wamekuwa wakali km pilipili.source Sunrise radio.
Ni NCCR au CCM hayo matokeo ya chini???
Nimeipenda hii...subira yavuta heriMbona tumesubiri muda mrefu masaa mawili yatushinde tuvute subira.
Huko rombo selasini anasema tunaongoza vituo vitatu kwa asilimia 75. Nimemnuu kutoka akaunt yake facebook
Ni kwelinimeongea nae ingawa bado vituo 9 lakini kwatofauti tulio waacha hawawezi kuifikia CCM...Daraja II Chadema wameshinda. source Nanyaro
Mkuu endelea kutupa updatesRombo CDM Vituo 9 CCM Vituo 2
Nawaona polisi wanarandaranda na Magari ya maji ya kuwasha hapa.
Safi sana, msalato mikononi mwa cdm
Kwa uwiano wa kura ni huu hadi sasa:
CCM 400
CHADEMA 767
huko rombo selasini anasema tunaongoza vituo vitatu kwa asilimia 75. Nimemnuu kutoka akaunt yake facebook
Naona unajifurahisha.....chumba B ccm 223, CDM 81, CUF 76. nasubiri vituo vingine nitawatupia faster.