Deejay nasmile
JF-Expert Member
- Nov 8, 2011
- 5,759
- 5,289
niwekee moja...kuna demu wangu mmoja alilisiti afu amefeli tenaaaaa hahahahNafasi za kupiga debe ziko wazi,nyingi tu.
Natafuta dereva wa bodaboda,matokeo yakikuzingua nitafute.
Hahahaha una utan na wa2 wew
View attachment 82674
sasa unashangaa nini!!! Hayo ndio matokeo yako uliyokuwa uanyaulizia kila siku
Mleta mada unakifahamu kidato cha nne..!!?? au ndo vile darasa la nne ukaona inatosha ukakimbilia u dj..!?? pole
View attachment 82674
sasa unashangaa nini!!! Hayo ndio matokeo yako uliyokuwa uanyaulizia kila siku