Invisible
Robot
- Feb 11, 2006
- 9,075
- 7,878
Sure, ukichukulia hata mbunge Kabuye hakuwa CCM, maanake wana kazi ngumu kuwabadili raia wa B'mulo!kwisha kazi.....
kitu ninachoweza kusema CCM haikubaliki b'mulo hata wakishinda.......
Sure, ukichukulia hata mbunge Kabuye hakuwa CCM, maanake wana kazi ngumu kuwabadili raia wa B'mulo!kwisha kazi.....
kitu ninachoweza kusema CCM haikubaliki b'mulo hata wakishinda.......
Je hivyo vituo sita vina wapiga kura wangapi??
kwisha kazi.....
kitu ninachoweza kusema CCM haikubaliki b'mulo hata wakishinda.......
Oooooh... ushawapa sababu... halikuwa jimbo letuSure, ukichukulia hata mbunge Kabuye hakuwa CCM, maanake wana kazi ngumu kuwabadili raia wa B'mulo!
CCM daima...
CHADEMA wameshinda!
yani chini ya asilimia 40 ndio wanamchagua muakilishi wao? kweli watu wanahitaji kuelimishwa zaidi umuhimu wa kupiga kura.