Wakati tukiendelea kusubiri matokeo, kiongozi mwingine wa Chadema kamwagiwa kemikali, na gari la Chadema lapata ajali, viongozi wake wawili wa Biharamulo, wamejeruhiwa, wote wako hospital ya Biharamulo.
Mbowe, Dr. Slaa, Zitto na viongozi wengine wako hapo hospital.
Mwenyewe anajua. Nadhani sasa safari ya kurejea CCM itashika kasiWhy mkuu?
hahaha
Wewe, Yo Yo kakwambia CHADEMA watakuwa wameiba kura hahahahahahongera chadema! Hongera demokrasia!
CUF na TLP walikuwa wasindikizaji kwenye mbio hizi... Kura zao zinaashiria kuwa walikuwa wanapoteza muda tu, baadhi ya vituo walikuwa wanapata kura 0!Duh! Mkuu kwa data hapo ni kwamba CHadema na CCM combined wamezoa karibia kura zote. Vyama vingine vilienda kufanya mapumziko? Naona hata CUF sasa tunaanza kuona mwisho wao.
ya Masatu ndio kabisa is not reachable......sasa yule dogo mukasa arudi akaendeleze ICT na ajue bado tunamulika uraia wake.......Kwa sasa simu za wajumbe wengi walio huko zimekuwa 'busy' si kawaida...