Josh Michael
JF-Expert Member
- Jun 12, 2009
- 2,523
- 77
Tuendelea kusubiri maana haya matokeo ndio tutaingia nayo kwenye uchaguzi mwakani na pia yatatumika kama mwanga kwa ajili ya CHADEMA na pia Pasco tupo Pamoja katika kuleta habari. by the way tunashukuru sana kwa kutuletea matokeoHizo tatu kwanini hayaja jumlishwa? ama ndo wana anza kuzikiteto na kuzibusanda?
Lakini 4/7 ni dalili njema.. twasubili kwa hamu mkuu.