ThisIsIt
Member
- Oct 4, 2022
- 31
- 63
Kama umewahi kufanya application ya maombi ya kazi kupitia mfumo wa ajira portal utakubaliana na mimi huu ni mfumo wa kijinga sana kuwahi kutokea
Just imagine wametangaza nafasi za kazi za Tutoria Assistant(Accounting and Finance). Wanataka mtu aliesomea ACCOUNTING AND FINANCE or BUSINESS ADMINISTRATION IN ACCOUNTING AND FINANCE, kama inavyoonesha hapa chini;
Sasa mtu amesomea chuo Bachelor of business administration in accounting na mfumo unakukubali kuomba kazi unaomba, mwisho wa siku wanakuja kusema hauna qualification na wakati G.P.A iko sawa kisa tu iyo finance😭😭
Halafu unawapigia simu wanasema mtu unakua umeucheat mfumo wakati vyeti na kila kitu umewawekea, how can this be possible..huu mfumo wa portal ni wa kipumbavu...otherwise hizi changamoto zinakatisha ndoto za watu wengi na ukizingatia majina yenyewe wanachelewa kuita watu.
Just imagine wametangaza nafasi za kazi za Tutoria Assistant(Accounting and Finance). Wanataka mtu aliesomea ACCOUNTING AND FINANCE or BUSINESS ADMINISTRATION IN ACCOUNTING AND FINANCE, kama inavyoonesha hapa chini;
Sasa mtu amesomea chuo Bachelor of business administration in accounting na mfumo unakukubali kuomba kazi unaomba, mwisho wa siku wanakuja kusema hauna qualification na wakati G.P.A iko sawa kisa tu iyo finance😭😭
Halafu unawapigia simu wanasema mtu unakua umeucheat mfumo wakati vyeti na kila kitu umewawekea, how can this be possible..huu mfumo wa portal ni wa kipumbavu...otherwise hizi changamoto zinakatisha ndoto za watu wengi na ukizingatia majina yenyewe wanachelewa kuita watu.