TikTok2020
JF-Expert Member
- Oct 20, 2022
- 1,817
- 3,142
Very true iwe kweli au uongo mambo ya Kanisa hayamuhusu masoud kwa sababu ni muislam hajui chochote kuhusu ukristo kwa hiyo alitakiwa apite kule kimya kimyaKutokana na imani yake, sidhani kama ana sifa ya kukosoa imani ya watu wengine. So kwa upande wangu nimechagua kumpuuza. Maana ameingilia mambo yasiyomhusu.