Unataka awe anavua nguo kwenye kampeni siunajua mzuka ukimpanda anavua nguoMkuu kuna jamaa kapendekeza nafasi ya urais act agombee afande sele
Lakini Lowassa si ndiye yeye na Chama chake cha jana ndio waliotupiga chini watu wa Kigoma, Rukwa na Tabora kwa miaka zaidi ya 50? Yeye kipaumbele kwanza kitakuwa Kanda ya Kaskazini!
Kuna mkabira kama zzk?wacha kutudanganya kajipange upya na act yenu imewafia mkononiMkuu umeongea pointi kuna watu wanacheza ngoma wasioijua,
hawa watu wa kaskazini wana lao jambo huwezi kuwaweka pamoja lowasa na sumaye ambao walikuwa mahasimu wakubwa,hapa lazima kuna kitu kimewaunganisha,
na hiki sio kingine ni ukaskazini kama umemsikia sumaye jana kauli ya;raisi hawezi kutoka kaskazini inaonesha wameunganishwa na ukabila hawa watu ni hatari tuwaogope.
Mkuu umeongea pointi kuna watu wanacheza ngoma wasioijua,
hawa watu wa kaskazini wana lao jambo huwezi kuwaweka pamoja lowasa na sumaye ambao walikuwa mahasimu wakubwa,hapa lazima kuna kitu kimewaunganisha,
na hiki sio kingine ni ukaskazini kama umemsikia sumaye jana kauli ya;raisi hawezi kutoka kaskazini inaonesha wameunganishwa na ukabila hawa watu ni hatari tuwaogope.
Mkuu umeongea pointi kuna watu wanacheza ngoma wasioijua,
hawa watu wa kaskazini wana lao jambo huwezi kuwaweka pamoja lowasa na sumaye ambao walikuwa mahasimu wakubwa,hapa lazima kuna kitu kimewaunganisha,
na hiki sio kingine ni ukaskazini kama umemsikia sumaye jana kauli ya;raisi hawezi kutoka kaskazini inaonesha wameunganishwa na ukabila hawa watu ni hatari tuwaogope.
kenge madoadoa..! Kwani wa kaskazini siyo watu? kwa hawana haki? mbona kikwete rais, mwanae ni mbunge, mama mjumbe nec, ila hamsemi ni chama cha mashariki/familia? acheni udunya madorobo nyinyi. shrines!
Hapo unejaribu kuwafungua macho ya ziada waone.
Malizia Sita amemwachia Mkewe Jimbo means hajuna wakio bora kugombea nnje ya hawa watawala wajivuni.
kenge madoadoa..! Kwani wa kaskazini siyo watu? kwa hawana haki? mbona kikwete rais, mwanae ni mbunge, mama mjumbe nec, ila hamsemi ni chama cha mashariki/familia? acheni udunya madorobo nyinyi. shrines!
Act chaaaaaliiiiiiiiiiiii