Naanto Mushi
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 6,236
- 15,603
Ama niseme hiki chama cha ACT Wazalendo au mwenyekiti wake Zitto Kabwe ni kama wameshakubali kushindwa siasa za Tanzania, au niseme tu labda wamepoteza mwelekeo.
Nikiri kwamba kati ya miaka ya 2016 mpaka 2019, Zitto alikuwa mwanasiasa active sana, na mimi mwenyewe ilikuwa ni mojawapo ya watu ilikuwa kila siku namfuatilia kwa karibu sana hususana twitter.
Ila nikaja kushangaa ghafla, anaanza kujiita mwanaharakati wa Tigray, hapo ndo nikaona huyu ameshapotea kwenye siasa za Tanzania na baada ya hapo na kuendelea yaani kuanzia mwaka 2020 mpaka leo hii, sijawah kumfuatilia tena Zitto Kabwe kwa karibu, nimehisi ya kwamba amepoteza relevance. Na hata na hivo kwa hii miaka 2 sijaona kama Zitto yupo series kufanya siasa za kiushindani tena.
Ukija kwa chama chake ACT Wazalendo, napo strategy ni hiyo hiyo. Hakuna relevance, hapa kati kwenye issues za bandari sijawasikia kabisa. Issue za Ngorongoro na wamasai pia sijawasikia.
Kwasababu mimi ninachoamini, ukijiita chama cha siasa, inatakiwa usimamie kwenye issues za kitaifa na uoneshe msimamo thabiti wa chama chako kwenye hiyo issue.
Asa kwa ACT na Zitto sijaona kwa hiki kipindi cha miaka 3 kama wamekuwa wanafanya mapambano kama wenzao wa CHADEMA.
ACT na Zitto waamshwe, naona kama wamepotea!
N. Mushi
Nikiri kwamba kati ya miaka ya 2016 mpaka 2019, Zitto alikuwa mwanasiasa active sana, na mimi mwenyewe ilikuwa ni mojawapo ya watu ilikuwa kila siku namfuatilia kwa karibu sana hususana twitter.
Ila nikaja kushangaa ghafla, anaanza kujiita mwanaharakati wa Tigray, hapo ndo nikaona huyu ameshapotea kwenye siasa za Tanzania na baada ya hapo na kuendelea yaani kuanzia mwaka 2020 mpaka leo hii, sijawah kumfuatilia tena Zitto Kabwe kwa karibu, nimehisi ya kwamba amepoteza relevance. Na hata na hivo kwa hii miaka 2 sijaona kama Zitto yupo series kufanya siasa za kiushindani tena.
Ukija kwa chama chake ACT Wazalendo, napo strategy ni hiyo hiyo. Hakuna relevance, hapa kati kwenye issues za bandari sijawasikia kabisa. Issue za Ngorongoro na wamasai pia sijawasikia.
Kwasababu mimi ninachoamini, ukijiita chama cha siasa, inatakiwa usimamie kwenye issues za kitaifa na uoneshe msimamo thabiti wa chama chako kwenye hiyo issue.
Asa kwa ACT na Zitto sijaona kwa hiki kipindi cha miaka 3 kama wamekuwa wanafanya mapambano kama wenzao wa CHADEMA.
ACT na Zitto waamshwe, naona kama wamepotea!
N. Mushi