Igangilonga
Senior Member
- Mar 11, 2006
- 133
- 27
Leo katika kipindi cha Leo Tena cha Clouds Redio kinachorushwa kila Jtatu hadi Ijumaa saa 3 asubuhi hadi saa 7 mchana nimesikia kasheshe iliyomkuta Wema ya kugongewa gari lake. Inasemekana kuwa alienda kushoot film katika pub fulani ya Pededjee anaesemekana kutembea nae sasaivi.
Mkewe akapata habari akaenda pale pub na Range Rover (Vogue) na kugongagonga gari analotumia Wema wakati Wema akiwa ndo anatoka pale na wasanii wenzie baada ya zoezi la kushoot kushindikana kutokana na kuwepo na watu wengi.
Mke wa pededjee huyo amedai ameligonga hilo gari sababu ni gari lao la familia kwahiyo haoni kwann Wema alitumie na kwamba alienda pale kushoot kwa ruhusa ya nani wakati yeye mwenye mali hana taarifa za ujio wake (Wema)?!
Isitoshe mke huyo kalalamika kuwa Wema anajigamba magazetini kuwa anatembea na mmewe ana alimpelekwa Dubai na kufanyiwa shopping kali ya mamilioni ya Pesa. Pia inasemekana Wema huwa anaenda pale Pub na wasanii wenzie wanajirusha, wanakula na kunywa then Wema anasaini bill ya zaidi ya millioni na kuondoka bila kulipa.
Imefanyika kasheshe kubwa na ishu nzima iko Oysterbay polisi ambapo yule mke aliwekwa ndani. Kwa story kamili kesho saa 5.20 asubuhi tune Radio Clouds kutakuwa na muendelezo wa hekaheka hiyo ambapo Wema atafunguka kuelezea kilichomtokea. Pole sana Wema Sepetu.
Mkewe akapata habari akaenda pale pub na Range Rover (Vogue) na kugongagonga gari analotumia Wema wakati Wema akiwa ndo anatoka pale na wasanii wenzie baada ya zoezi la kushoot kushindikana kutokana na kuwepo na watu wengi.
Mke wa pededjee huyo amedai ameligonga hilo gari sababu ni gari lao la familia kwahiyo haoni kwann Wema alitumie na kwamba alienda pale kushoot kwa ruhusa ya nani wakati yeye mwenye mali hana taarifa za ujio wake (Wema)?!
Isitoshe mke huyo kalalamika kuwa Wema anajigamba magazetini kuwa anatembea na mmewe ana alimpelekwa Dubai na kufanyiwa shopping kali ya mamilioni ya Pesa. Pia inasemekana Wema huwa anaenda pale Pub na wasanii wenzie wanajirusha, wanakula na kunywa then Wema anasaini bill ya zaidi ya millioni na kuondoka bila kulipa.
Imefanyika kasheshe kubwa na ishu nzima iko Oysterbay polisi ambapo yule mke aliwekwa ndani. Kwa story kamili kesho saa 5.20 asubuhi tune Radio Clouds kutakuwa na muendelezo wa hekaheka hiyo ambapo Wema atafunguka kuelezea kilichomtokea. Pole sana Wema Sepetu.