Cha kushangaza sana,eti mratibu wa mashindano haya ni AL-HAJJ,anaitwa al-hajj Hashim Lundenga.Mufti Simba anamwangalia al-hajj huyu na wala hajawahi kumuita Bakwata japo kuja kumpa nasaha njema tu sisemi kumuadhibu,lakini akiwahiwa kutangaza mwezi na wenzake ugomvi mkubwa kweli mpaka anakusanya waandishi wa habari na TBC anafika kuwaeleza kuwa yeye peke yake ndio mwenye mamlaka ya kutangaza mwezi.Haya ya Lundenga alhaji kaziba macho na masikio kana kwamba hayamuhusu.