jebs2002
JF-Expert Member
- Sep 3, 2008
- 8,803
- 7,578
Kila kukicha tunasikia na kuona mashindano ya u-miss, ina maana TZ kwa sasa haina njia nyingine ya kusaidia watoto wake wa kike zaidi ya kuwatembeza na kuwavalisha vichupi hadharani?
Kwani Voda, Airtel na TBL hawana mashindano mengine ya kusaidia watoto wa kike, kama ya business plan, kufanya vizuri O'level, A' level, vyuoni au kuwapa tuzo wale wanaosaidia jamii?
Wadau mnasemaje?
Kwani Voda, Airtel na TBL hawana mashindano mengine ya kusaidia watoto wa kike, kama ya business plan, kufanya vizuri O'level, A' level, vyuoni au kuwapa tuzo wale wanaosaidia jamii?
Wadau mnasemaje?