Ruhazwe JR
JF-Expert Member
- Jan 31, 2011
- 3,403
- 920
- Thread starter
- #81
poa 2 shemeji, me nipo, mbona wanshusha hadhi? Me ckai tandale bwana, kwanza hata cpajui, halafu naona cku hzi dogo kapata mme mwengine, ila me cjatambulishwa, so nakujua ww.
ndio,kapata zee flani hiv ni li-advocate,hajakutambulisha kwakua walibebania kwenye kigodoro wakiwa wamelewa,zee lenyewe halina makazi maalumu kifupi dogo wako ndio kaoa si kuolewa.hata hivyo siunajua ushemeji haunaga taraka?