Ruhazwe JR
JF-Expert Member
- Jan 31, 2011
- 3,403
- 920
Habari yenu bhana
Hii ni mashindano ya kumsaka miss chitchat wa mwezi September.Bado tupo katika ngazi ya nusu fainal,washindi wawili watakaopatikana hapa ndio watakao ingia kuchuana Fainal.
Unaombwa kuchagua mtu mmoja toka kila group ili kuwapata washiriki wawili ambao wataingia Fainal.Washiriki ni kama wafutao katika magroup yao:-
GROUP A
1. CUTE
2. Madame B
3. nivea
4. Preta
5. Yummy
GROUP B
1. charminglady
2. Arabela
3. Catherine
4. sweetlady
5. king,ast
MASHARTI YA KURA NA JINSI YA KUPIGA KURA
1. utachakua jina moja toka kila group Mfano (group "A" cute Group "B" chaminglady)
2. KUMBUKA kura harali ni ile iliyotaja majina moja kwa kila group
3. KUMBUKA one vote one member,endapo utapiga kura zaidi ya moja itahesabiwa moja ya kwanza tu.
4. washiriki wanaruhgusiwa kujipigia kura,kuomba kura,kufanya kampeni za kuomba kura
5. Mwisho wa kupiga kura za nusu fainal ni tarehe 30sep saa saba mchana.
Baada ya kuwa tumewapata wawili watatangazwa katika thread hii hii na baadaye kutakuwa na thread nyingene ya Fainal.Natanguliza shukrani na natumaini utatoa ushirikiani.Ahsante
UPDATE
Ninaomba radhi kwa usumbufu uliojitokeza.
Aidha Tunaongeza Muda wa kupiga kura hadi kesho ya Jumatatu saa mbili kamili jioni,kwa kuwa kumejitokeza kasoro
Hii ni mashindano ya kumsaka miss chitchat wa mwezi September.Bado tupo katika ngazi ya nusu fainal,washindi wawili watakaopatikana hapa ndio watakao ingia kuchuana Fainal.
Unaombwa kuchagua mtu mmoja toka kila group ili kuwapata washiriki wawili ambao wataingia Fainal.Washiriki ni kama wafutao katika magroup yao:-
GROUP A
1. CUTE
2. Madame B
3. nivea
4. Preta
5. Yummy
GROUP B
1. charminglady
2. Arabela
3. Catherine
4. sweetlady
5. king,ast
MASHARTI YA KURA NA JINSI YA KUPIGA KURA
1. utachakua jina moja toka kila group Mfano (group "A" cute Group "B" chaminglady)
2. KUMBUKA kura harali ni ile iliyotaja majina moja kwa kila group
3. KUMBUKA one vote one member,endapo utapiga kura zaidi ya moja itahesabiwa moja ya kwanza tu.
4. washiriki wanaruhgusiwa kujipigia kura,kuomba kura,kufanya kampeni za kuomba kura
5. Mwisho wa kupiga kura za nusu fainal ni tarehe 30sep saa saba mchana.
Baada ya kuwa tumewapata wawili watatangazwa katika thread hii hii na baadaye kutakuwa na thread nyingene ya Fainal.Natanguliza shukrani na natumaini utatoa ushirikiani.Ahsante
UPDATE
Ninaomba radhi kwa usumbufu uliojitokeza.
Aidha Tunaongeza Muda wa kupiga kura hadi kesho ya Jumatatu saa mbili kamili jioni,kwa kuwa kumejitokeza kasoro
Last edited by a moderator: