PARRIE KIJIKO
Senior Member
- Jul 22, 2012
- 110
- 12
Kwa wale wasomaji wa novel hasahasa "crime fictions" hayo majina hayatakua mageni kwenu,wote wawili ni marehemu kwa sasa
baadhi ya kazi za puzo ni 'the godfather','the dark arena'the sicilian etc
baadhi ya kazi za chase ni 'no orchids for miss blandish','i'll get you for this',safer death etc.
Je,kwa mtazamo wako kazi za nani ni nzuri zaidi na ni mwandishi yupi alikua mzuri zaidi(the best)?
baadhi ya kazi za puzo ni 'the godfather','the dark arena'the sicilian etc
baadhi ya kazi za chase ni 'no orchids for miss blandish','i'll get you for this',safer death etc.
Je,kwa mtazamo wako kazi za nani ni nzuri zaidi na ni mwandishi yupi alikua mzuri zaidi(the best)?