Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,358
Mbona huju kwa point niliokuulizaaaaa na unijibu na ndio maana nkakuambia zitaje hizo mbuga zenye guest huko porini me najua fika na ndio maaana nakuambia taja. we wataka kunia mbuga ziko mjini siku hizi na kuna guest??
mkulu najua nachokisema na natambua vyema mbuga za TZ sasa usilete league mkuu we taja izo guest zako huko mbugani kwanza na majina ikiwezekana, Au ulitaperiwa nini??
Hujamsoma vizuri huko juu? alishaweka stop ya kulumbana na wewe! Ebo!