Marafiki kutembelea Mbuga zetu...nani anaenda?



MKuuu,

Tatizo sio kwenda tuuu kwenda twaweza kwenda ila mzeeee gharama za kule porini au kwenye mbuga zetu usipaime ziko juuu twapishana kidogo sana na watariii wa nje,

Nyie amjiulizi kwanini utarii wandani wanaupigiaaa keleleeee weeeee oooh mbona watanzania amwendi ni gharama ndizo kubwa kaeni mkijua hilo. waulize wadau wa Arusha kama wengi wao huenda hata 20% ya wakazi wa arusha waendao mbugani inafika

Thnkx



mkulu apo ungemwaga dataz kabla ya kuconclude, kiingilia kwa watanzania kwenye Mbuga zetu nyingi ni 1,500/= kwa siku...(bei ya bia moja hapo tena za kiswahili hizi sio zile), so ukilipa hilo una access ya vivutio vyote kwa siku

gharama za kwako ni usafiri kufika kule na sehemu ya kulala. Sehemu nyingi za mbuga zetu kuna hoteli na guest karibu karibu ambazo ni affordable kwa mtu wa kawaida. wazungu wenyewe kikiwachachachia wanaendaga huko kutoka kwenye lodges. Hao wanaitwa back packers.

So sioni ni kwa nini with prio notice kama hii bado mtu uhofie gharama. Ni lini tutajifunnza kwenda likizo au hatutaki kumuiga JK?

Cha kuangalia hapo ni wapi pa karibu kama fweza inagomba, unaenda unakula raha unarudi fresh hata moyo wa kujenga nchi unakuwepo!

haya vipi unaenda ama hutaenda? LOL
 
mkulu apo ungemwaga dataz kabla ya kuconclude, kiingilia kwa watanzania kwenye Mbuga zetu nyingi ni 1,500/= kwa siku...(bei ya bia moja hapo tena za kiswahili hizi sio zile), so ukilipa hilo una access ya vivutio vyote kwa siku

gharama za kwako ni usafiri kufika kule na sehemu ya kulala. Sehemu nyingi za mbuga zetu kuna hoteli na guest karibu karibu ambazo ni affordable kwa mtu wa kawaida. wazungu wenyewe kikiwachachachia wanaendaga huko kutoka kwenye lodges. Hao wanaitwa back packers.

So sioni ni kwa nini with prio notice kama hii bado mtu uhofie gharama. Ni lini tutajifunnza kwenda likizo au hatutaki kumuiga JK?

Cha kuangalia hapo ni wapi pa karibu kama fweza inagomba, unaenda unakula raha unarudi fresh hata moyo wa kujenga nchi unakuwepo!

haya vipi unaenda ama hutaenda? LOL

Mpwa rudi kaangalie nimekugongea senks. Na nyingine na nakugea kwa hapa Thanks!
 
Jamani kwa wale mlio nje na Dar kama mtakuwepo tarehe au tuwasubilini tunaomba ushirikiano wenu maana tukiwa 20-25 tunakamata Coaster......Dar mpaka Moro
 
Jamani kwa wale mlio nje na Dar kama mtakuwepo tarehe au tuwasubilini tunaomba ushirikiano wenu maana tukiwa 20-25 tunakamata Coaster......Dar mpaka Moro
tarehe ipi? na wapi ? mi niko karibu sana pua na mdomo tu !!1 so haina noma
 
tarehe ipi? na wapi ? mi niko karibu sana pua na mdomo tu !!1 so haina noma

Yaani mkuu we jipange hii itakuwa Get tugedha bab kubwa ni ruksa kuja na wife au husband wengine tutakuja na viburudisho vyetu na ctn kadhaa za Safari Lager kwenye mabegi.
 
Jamani kwa wale mlio nje na Dar kama mtakuwepo tarehe au tuwasubilini tunaomba ushirikiano wenu maana tukiwa 20-25 tunakamata Coaster......Dar mpaka Moro
Coaster??? wakati watu wameshaanda matukutuku ziko garage zinafanyiwa sevisi kwa ajili hiyo, special for their 1st mamas, ngoja wakuangukie.
 
........... Sehemu nyingi za mbuga zetu kuna hoteli na guest karibu karibu ambazo ni affordable kwa mtu wa kawaida.

Hebu nitajie mbuga zipi kuan guest za bei ndogo mkuulu na usikimbilie hapo gate la kwanza ngorongoro crater na huko ndani zaidi Serengeti au Momera???zingine utazitaja na utuambie kama kuna Guest hukio????



 


Hebu nitajie mbuga zipi kuan guest za bei ndogo mkuulu na usikimbilie hapo gate la kwanza ngorongoro crater na huko ndani zaidi Serengeti au Momera???zingine utazitaja na utuambie kama kuna Guest hukio????




mkulu kabla ya kuendelea jiografia yako inakuwambia mbuga ni hizo tu? hebu zitaje nyingine mkuu kama kweli uko very informed kwenye hilo!
 
Hebu nitajie mbuga zipi kuan guest za bei ndogo mkuulu na usikimbilie hapo gate la kwanza ngorongoro crater na huko ndani zaidi Serengeti au Momera???zingine utazitaja na utuambie kama kuna Guest hukio????

My dear Jethro are you in or out? Usianze kutukatisha tamaa mapema. Si tunajiorganise, tukiona maji marefu tunajirusha hata hapo bagamoyo kuangalia soko la watumwa na paradise hoteli iliyoungua. Lengo ni kufahamiana zaidi na kubadilishana mawazo kwa midomo, siyo keyboard kama tulivyozoea. Nadhani ndio maana hujaona sehemu phyisically tutakayoenda imetajwa. Gharama kulingana na hali halisi ya vipato vya wajumbe vitazingatiwa!

Ya knoo woram seyying?
 
My dear Jethro are you in or out? Usianze kutukatisha tamaa mapema. Si tunajiorganise, tukiona maji marefu tunajirusha hata hapo bagamoyo kuangalia soko la watumwa na paradise hoteli iliyoungua. Lengo ni kufahamiana zaidi na kubadilishana mawazo kwa midomo, siyo keyboard kama tulivyozoea. Nadhani ndio maana hujaona sehemu phyisically tutakayoenda imetajwa. Gharama kulingana na hali halisi ya vipato vya wajumbe vitazingatiwa!

Ya knoo woram seyying?


dah, mpwa kwa kujiadapt kwenye 'mazingira' sikuwezi. well done mpwa hapa sisemi kitu tena LOL
 
mkulu kabla ya kuendelea jiografia yako inakuwambia mbuga ni hizo tu? hebu zitaje nyingine mkuu kama kweli uko very informed kwenye hilo!

Mbona huju kwa point niliokuulizaaaaa na unijibu na ndio maana nkakuambia zitaje hizo mbuga zenye guest huko porini me najua fika na ndio maaana nakuambia taja. we wataka kunia mbuga ziko mjini siku hizi na kuna guest??

mkulu najua nachokisema na natambua vyema mbuga za TZ sasa usilete league mkuu we taja izo guest zako huko mbugani kwanza na majina ikiwezekana, Au ulitaperiwa nini??

 
mashemeji zangu leo mnakula senksi tu mpaka mnafika zero pub na tabata
 


Mbona huju kwa point niliokuulizaaaaa na unijibu na ndio maana nkakuambia zitaje hizo mbuga zenye guest huko porini me najua fika na ndio maaana nakuambia taja. we wataka kunia mbuga ziko mjini siku hizi na kuna guest??

mkulu najua nachokisema na natambua vyema mbuga za TZ sasa usilete league mkuu we taja izo guest zako huko mbugani kwanza na majina ikiwezekana, Au ulitaperiwa nini??


dah, mi wala siweki ligi, ila pia sizitaji...suala sio kulala guest ndani ya mbuga, unaposema tunaposema guest zinawweza kuwa nje. lakini pia Mbuga nyingi wana nyumba za bei nafuu kwa watu kama sisi kama tukitaka kulala nje.

Kusemea guest au hoteli namaanisha zilizopo ndani na nje pia ni suala a options tu ndo maana tumesome uchumi. lol

sasa kutaja hapa ni wapi hilo halitawezekana. niPM mimi au mkulu Xpin au Geoff kama utapenda maelezo zaidi lakini kwa haya nadhani yanatosha. Mi ligi na watoto wa kike siwezagi kabisa,,,kisa cha kujilaani ni nini?
 
Back
Top Bottom