Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,320
- 17,822
Wakulu naona hili linahusiana nzaidi na mahusiano na urafiki,
Nimepata wazo mi na wenzangu kadha wa kadha kuwa ingekuwa vizuri kama siku zijazo sisi kama marafiki basi tukajiopiga piga tukaenda kutembelea mojawapo ya Mbuga zetu ili kujipoza na machungu ya nji hii yasiyo na dalili za kupungua.
kwa nini waende wadosi na wazungu tu? hata sisi tunaweza. huenda kuna ambao hawajawahi kufika, itakuwa vizuri kujua utajiri wetu ulivyo kwa upande huo ili tujua tunapigania nini hasa.
kwa wale wanaopunga mkono hoja please hebu gongeni senks kisha tujadiliane namna ya kuorganise hii kitu (for those brave enough). Najitolea kufanya reconnaisance and all sorts kisha nitaweka dataz hapa.
karibuni
UPDATE 1:
Marafiki, wapwa na mabinamu, planning inaendeela vizuri, tunategemea kuelekea Mbugani jumamosi hii yaani tarehe tano mwezi wa kumi na mbili. Kamati ya usafiri uko very busy na by kesho tutakuwa tumeshakamilisha hilo . Masuala yanayohusu exact location pamoja na costs naomba tafadhali tuwasiliane PM kwa wale walioko serious tu. Hatuwezi kuziweka hapa, kamanilivosema mwanzoni, kwa sababu zilizo wazi kabisa.
Napenda niwashukuru wale wote ambao tumekuwa tukishirikiana katika planning ya hii big event.
UPDATE 2
Wapendwa wote!
Napenda tena safari hii kuwashukuru sana sana wale wote tuliojumuika Jumamosi na kufanikisha the FIRST EVER trip ya wana JF kama ilivyokuwa!
Nawashukuru kwa niaba ya wale wote tuliokwenda kujivinjari, kwa mawazo na michango yenu hapa. kwa wale ambao hamkuweza kwenda , daima ipo nafasina siku nyingine.
Tulichojifunza kikubwa ni kuwa pamoja, na kujenga kuaminiana na huu ni mwanzo wa kutengeneza mtandao ambao nina imani utatufikisha mbali!
Idumu JF, wadumu wapwa na mabinamu, tupo pamoja sana!
Nimepata wazo mi na wenzangu kadha wa kadha kuwa ingekuwa vizuri kama siku zijazo sisi kama marafiki basi tukajiopiga piga tukaenda kutembelea mojawapo ya Mbuga zetu ili kujipoza na machungu ya nji hii yasiyo na dalili za kupungua.
kwa nini waende wadosi na wazungu tu? hata sisi tunaweza. huenda kuna ambao hawajawahi kufika, itakuwa vizuri kujua utajiri wetu ulivyo kwa upande huo ili tujua tunapigania nini hasa.
kwa wale wanaopunga mkono hoja please hebu gongeni senks kisha tujadiliane namna ya kuorganise hii kitu (for those brave enough). Najitolea kufanya reconnaisance and all sorts kisha nitaweka dataz hapa.
karibuni
UPDATE 1:
Marafiki, wapwa na mabinamu, planning inaendeela vizuri, tunategemea kuelekea Mbugani jumamosi hii yaani tarehe tano mwezi wa kumi na mbili. Kamati ya usafiri uko very busy na by kesho tutakuwa tumeshakamilisha hilo . Masuala yanayohusu exact location pamoja na costs naomba tafadhali tuwasiliane PM kwa wale walioko serious tu. Hatuwezi kuziweka hapa, kamanilivosema mwanzoni, kwa sababu zilizo wazi kabisa.
Napenda niwashukuru wale wote ambao tumekuwa tukishirikiana katika planning ya hii big event.
UPDATE 2
Wapendwa wote!
Napenda tena safari hii kuwashukuru sana sana wale wote tuliojumuika Jumamosi na kufanikisha the FIRST EVER trip ya wana JF kama ilivyokuwa!
Nawashukuru kwa niaba ya wale wote tuliokwenda kujivinjari, kwa mawazo na michango yenu hapa. kwa wale ambao hamkuweza kwenda , daima ipo nafasina siku nyingine.
Tulichojifunza kikubwa ni kuwa pamoja, na kujenga kuaminiana na huu ni mwanzo wa kutengeneza mtandao ambao nina imani utatufikisha mbali!
Idumu JF, wadumu wapwa na mabinamu, tupo pamoja sana!