Mapigo matatu kwa Zitto Zuberi Kabwe, Bado pigo moja yatimie

ZZK lazima aikumbuke historia ya maisha yake. Msingi wa mafanikio yake leo ni zao la malezi bora toka kwa CDM pamoja na utambulisho wa kisiasa alioupata toka kwa mtoto wa mjini mh. Mbowe. Tambueni leo hii zzk anajiona mjanja kwa sababu alionyeshwa kila kona ya mji huu na mbowe wakati akiwa anafanya kazi ya uhamasishaji na kulipwa na mbowe. Kumbukeni enzi hizo CDM ilikuwa na wabunge wawili tuu. Mh. Slaa na Mzee Ndesamburo tuu bungeni.

Marunda,
Hii ndlotatizo ninaloliona kwa watu wengi. Huwezi kuwa-confined ndani ya miliki ya mtu kisa alikusadia kujuikana. Kama alimjenga ajulikane sasa si ndio anajulikana ttz liko wapi???
 
Misaada haiweze kupoteza fikra huru na uhuru wa mtu kufikiri anavyoona inafaa. kumlea is not an issue, nilitegemea msomi kama ungechambua maoni yako kwa umakini lkn hakuna tofauti na mburura

Nadhani upoe wako mdogo katika kutafakari mambo. Siongelei msaada hapa ila najaribu kuweka wazi historia ya zzk. Tatizo watanzania hawapendi kuambiwa ukweli. Fiction za kifikra zenye kuleta tija ndio mwanga wa maendeleo na sio kujiona bora kuliko wengine.
 
Salaam JF

Haya ni maono yangu juu ya kiongozi mkuu wa chama cha ACT hayausiani na utabiri wala njozi yoyote. Mhe ZZK kama utasoma uzi huu yakupasa ufunge mkanda kubadili haya maono. Maono haya nimeyaweka katika dhana ya mapigo 3.
Mapigo hayo ni kama yafuatayo;

1. Kuanzishwa kwa UKAWA
Hili ni pigo lililofuta kabisa upepo wa ZZK kuhama na kuitikisa CDM. Wachambuzi wengi wa siasa akiwemo yeye mwenyewe ZZK waliamini kuhama/kufukuzwa kwa ZZK CDM kungeleta maafa makubwa ndani ya cdm, ni kweli ulitikisa cdm kwa muda mfupi lkn dhana ya UKAWA ilpokuja ilikufuta katika headlines za media zetu na huo ukawa mwanzo wa ZZK kusahaulika.

2. LOWASA kuhamia CDM/UKAWA
Mhe ZZK hili ni pigo ambalo hutakaa ulisahau katika maisha yako yote ya siasa. LOWASA ni tunda ulilokuwa unalisubiri muda mrefu liive ili ulimenye na kula uongeze afya ya chama chako cha ACT lkn kwa bahati mbaya mtoto wa mjini ambaye ni mwalimu wako wa siasa Freeman A. Mbowe amekupiga bao dk za mwisho wakati unasubiri tunda LOWASA lianguke uliokote, yeye kalipandia juu na kuliwai kulichuma. Amini amini nakuambia Hili pigo litakutesa na litazaa pigo la 3 litakalokufuta kabisa kwenye siasa. Ukiona Dr. Kitila Mkumbo akiwapongeza cdm kumchukua LOWASA ujue safari ya ikulu imekaribia

3. KUKOSA UBUNGE

Mhe ZZK omba Mungu Serukamba asibadili mawazo akaamua kugombea kupitia UKAWA, ubunge utabaki historia kwako. Naiona nguvu kubwa ya UKAWA ambayo hutaweza kuizuia kuchukua jimbo utakalogombea ama majimbo yote ya kigoma. Pia pole zangu zimwendee Mhe Machali naona safari hii ameamua kupishana na bahati ya Ubunge tutakumis sana bungeni.

USHAURI
Tafuta mashauriano na UKAWA ikiwezekana muombe radhi Mbowe akipokee chama chako ndani ya UKAWA. Nina imani mbowe yupo tayari kukusamehe na kukurudisha kundini kwani yeye ndiye aliyekutoa kisiasa.

Wenu
Jasho la damu

cc: Zitto

Ushauri wa maana Sana.
 
Marunda,
Hii ndlotatizo ninaloliona kwa watu wengi. Huwezi kuwa-confined ndani ya miliki ya mtu kisa alikusadia kujuikana. Kama alimjenga ajulikane sasa si ndio anajulikana ttz liko wapi???

Hilo si tatizo bali kudharau msingi wako wa maisha ya kisiasa ni jambo lisilo kubalika popote. Kwa hili tuache ushabiki.
 
Ni kweli tutammiss sana Machali bungeni; hii political miscalculation yake ni janga kwa taifa, on the flip side of things; ZZK aendelee na upweke wake huko Alliance for Cowards and Traitors-Wasaliti; because Once a traitor always ONE! asije kutuharibia UKAWA kwa fitina na usaliti wake wa mazoea; habitual!
 
CKVBg1fWsAAUu3g.jpg
CKVBiMgWgAAM8dC.jpg
CKVBg1fWsAAUu3g.jpg
 
Zito baki uko usiende ukawa maana ukawa mafisadi ndo kimbilio lao, wewe tengeneza chama, maana ukawa ni wanafiki sana,
 
Salaam JF

Haya ni maono yangu juu ya kiongozi mkuu wa chama cha ACT hayausiani na utabiri wala njozi yoyote. Mhe ZZK kama utasoma uzi huu yakupasa ufunge mkanda kubadili haya maono. Maono haya nimeyaweka katika dhana ya mapigo 3.
Mapigo hayo ni kama yafuatayo;

1. Kuanzishwa kwa UKAWA
Hili ni pigo lililofuta kabisa upepo wa ZZK kuhama na kuitikisa CDM. Wachambuzi wengi wa siasa akiwemo yeye mwenyewe ZZK waliamini kuhama/kufukuzwa kwa ZZK CDM kungeleta maafa makubwa ndani ya cdm, ni kweli ulitikisa cdm kwa muda mfupi lkn dhana ya UKAWA ilpokuja ilikufuta katika headlines za media zetu na huo ukawa mwanzo wa ZZK kusahaulika.

2. LOWASA kuhamia CDM/UKAWA
Mhe ZZK hili ni pigo ambalo hutakaa ulisahau katika maisha yako yote ya siasa. LOWASA ni tunda ulilokuwa unalisubiri muda mrefu liive ili ulimenye na kula uongeze afya ya chama chako cha ACT lkn kwa bahati mbaya mtoto wa mjini ambaye ni mwalimu wako wa siasa Freeman A. Mbowe amekupiga bao dk za mwisho wakati unasubiri tunda LOWASA lianguke uliokote, yeye kalipandia juu na kuliwai kulichuma. Amini amini nakuambia Hili pigo litakutesa na litazaa pigo la 3 litakalokufuta kabisa kwenye siasa. Ukiona Dr. Kitila Mkumbo akiwapongeza cdm kumchukua LOWASA ujue safari ya ikulu imekaribia

3. KUKOSA UBUNGE

Mhe ZZK omba Mungu Serukamba asibadili mawazo akaamua kugombea kupitia UKAWA, ubunge utabaki historia kwako. Naiona nguvu kubwa ya UKAWA ambayo hutaweza kuizuia kuchukua jimbo utakalogombea ama majimbo yote ya kigoma. Pia pole zangu zimwendee Mhe Machali naona safari hii ameamua kupishana na bahati ya Ubunge tutakumis sana bungeni.

USHAURI
Tafuta mashauriano na UKAWA ikiwezekana muombe radhi Mbowe akipokee chama chako ndani ya UKAWA. Nina imani mbowe yupo tayari kukusamehe na kukurudisha kundini kwani yeye ndiye aliyekutoa kisiasa.

Wenu
Jasho la damu

cc: Zitto

una akili timamu?? hauoni aibu??

Mbowe alifanya siasa chafu dhidi ya zitto, mjinga kama wewe ukadanganywa

leo unaongea pumba ili hali wenzako wote wanaona aibu

umekula maharage ya wapi??
 
Nakumbuka wakati nipo chuo kikuu mlimani mwaka wa pili mwaka 2003. Zito Kabwe na Halima Mdee walikuwa wanafanya kazi ya kuhamasisha Chama CHADEMA na kulipwa na MH. MBOWE. Tulialikwa pale Bilicanas kuhamasishwa kwa ajili ya kujiunga na chama na ndio wamepatikana leo wakina Mnyika na wengine wengi sana. Zito katokea mbali jamani mbowe ndio mlezi wake kisiasa. Ndio hivyo tena. Mbowe ni mtoto aliyezaliwa mjini posta kakulia posta na hela. Zito hawezi mwambia lolote kabisa.

Kwa hiyo unatakaje sasa mkuu
 
Salaam JF

Haya ni maono yangu juu ya kiongozi mkuu wa chama cha ACT hayausiani na utabiri wala njozi yoyote. Mhe ZZK kama utasoma uzi huu yakupasa ufunge mkanda kubadili haya maono. Maono haya nimeyaweka katika dhana ya mapigo 3.
Mapigo hayo ni kama yafuatayo;

1. Kuanzishwa kwa UKAWA
Hili ni pigo lililofuta kabisa upepo wa ZZK kuhama na kuitikisa CDM. Wachambuzi wengi wa siasa akiwemo yeye mwenyewe ZZK waliamini kuhama/kufukuzwa kwa ZZK CDM kungeleta maafa makubwa ndani ya cdm, ni kweli ulitikisa cdm kwa muda mfupi lkn dhana ya UKAWA ilpokuja ilikufuta katika headlines za media zetu na huo ukawa mwanzo wa ZZK kusahaulika.

2. LOWASA kuhamia CDM/UKAWA
Mhe ZZK hili ni pigo ambalo hutakaa ulisahau katika maisha yako yote ya siasa. LOWASA ni tunda ulilokuwa unalisubiri muda mrefu liive ili ulimenye na kula uongeze afya ya chama chako cha ACT lkn kwa bahati mbaya mtoto wa mjini ambaye ni mwalimu wako wa siasa Freeman A. Mbowe amekupiga bao dk za mwisho wakati unasubiri tunda LOWASA lianguke uliokote, yeye kalipandia juu na kuliwai kulichuma. Amini amini nakuambia Hili pigo litakutesa na litazaa pigo la 3 litakalokufuta kabisa kwenye siasa. Ukiona Dr. Kitila Mkumbo akiwapongeza cdm kumchukua LOWASA ujue safari ya ikulu imekaribia

3. KUKOSA UBUNGE

Mhe ZZK omba Mungu Serukamba asibadili mawazo akaamua kugombea kupitia UKAWA, ubunge utabaki historia kwako. Naiona nguvu kubwa ya UKAWA ambayo hutaweza kuizuia kuchukua jimbo utakalogombea ama majimbo yote ya kigoma. Pia pole zangu zimwendee Mhe Machali naona safari hii ameamua kupishana na bahati ya Ubunge tutakumis sana bungeni.

USHAURI
Tafuta mashauriano na UKAWA ikiwezekana muombe radhi Mbowe akipokee chama chako ndani ya UKAWA. Nina imani mbowe yupo tayari kukusamehe na kukurudisha kundini kwani yeye ndiye aliyekutoa kisiasa.

Wenu
Jasho la damu

cc: Zitto

Teh teh teh. ...Haombwi mtu msamaha kama unaumia saaana kaombe msamaha wewe. Nakushauri pia kama ulivyoshauri wewe. .kafanye utafiti Chadema ilikuwa na wabunge wangapi 1995 alafu uniambie ACT itakuwa na wangapi baada ya October. ..Acha kukesha unatoa ushauri kwa mtu anayefyeka mapori. ..
 
Salaam JF

Haya ni maono yangu juu ya kiongozi mkuu wa chama cha ACT hayausiani na utabiri wala njozi yoyote. Mhe ZZK kama utasoma uzi huu yakupasa ufunge mkanda kubadili haya maono. Maono haya nimeyaweka katika dhana ya mapigo 3.
Mapigo hayo ni kama yafuatayo;

1. Kuanzishwa kwa UKAWA
Hili ni pigo lililofuta kabisa upepo wa ZZK kuhama na kuitikisa CDM. Wachambuzi wengi wa siasa akiwemo yeye mwenyewe ZZK waliamini kuhama/kufukuzwa kwa ZZK CDM kungeleta maafa makubwa ndani ya cdm, ni kweli ulitikisa cdm kwa muda mfupi lkn dhana ya UKAWA ilpokuja ilikufuta katika headlines za media zetu na huo ukawa mwanzo wa ZZK kusahaulika.

2. LOWASA kuhamia CDM/UKAWA
Mhe ZZK hili ni pigo ambalo hutakaa ulisahau katika maisha yako yote ya siasa. LOWASA ni tunda ulilokuwa unalisubiri muda mrefu liive ili ulimenye na kula uongeze afya ya chama chako cha ACT lkn kwa bahati mbaya mtoto wa mjini ambaye ni mwalimu wako wa siasa Freeman A. Mbowe amekupiga bao dk za mwisho wakati unasubiri tunda LOWASA lianguke uliokote, yeye kalipandia juu na kuliwai kulichuma. Amini amini nakuambia Hili pigo litakutesa na litazaa pigo la 3 litakalokufuta kabisa kwenye siasa. Ukiona Dr. Kitila Mkumbo akiwapongeza cdm kumchukua LOWASA ujue safari ya ikulu imekaribia

3. KUKOSA UBUNGE

Mhe ZZK omba Mungu Serukamba asibadili mawazo akaamua kugombea kupitia UKAWA, ubunge utabaki historia kwako. Naiona nguvu kubwa ya UKAWA ambayo hutaweza kuizuia kuchukua jimbo utakalogombea ama majimbo yote ya kigoma. Pia pole zangu zimwendee Mhe Machali naona safari hii ameamua kupishana na bahati ya Ubunge tutakumis sana bungeni.

USHAURI
Tafuta mashauriano na UKAWA ikiwezekana muombe radhi Mbowe akipokee chama chako ndani ya UKAWA. Nina imani mbowe yupo tayari kukusamehe na kukurudisha kundini kwani yeye ndiye aliyekutoa kisiasa.

Wenu
Jasho la damu

cc: Zitto
Nadhani huwajui watu wa KIgoma, jifunze wakoje nandio uyaandike hayo!
 
Hebu tutumie ubongo kidogo hilo chini ni gari la KUB na anayelitumia ni kiongozi wa KUB kufanya shughuli za KUB ambazo ni shughuli za cdm included.
Hiyo juu ni ndege ya serikali inafanya kazi ya ccm na anayeitumia ni kada wa ccm je ccm ni Serikali ya Jamhuri ya muungano wa Tz?
 
Hilo la pili ni pigo kwenu chadema wanafiki kila siku mlikuwa mnapiga kelele kuwa ACT inafadhiliwa na Lowassa/CCM..Kumbe mlikuwa mnamtolea macho...sasahivi mbona hamuongei kitu...wanafiki nyie acheni porojo

Huo ndio ukweli Lowasa alifadhili ACT akitegemea kuwa atapitishwa kugombea kupitia CCM na kwa kufanya hivyo ACT ingemrahisishia kwenye kampeni. Sasa wanaume wamebadilishia gia angani, Doh! ACT chali. N bado mengine yanakuja mtazidi kupotea kwenye ramani.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom