Mapigo matatu kwa Zitto Zuberi Kabwe, Bado pigo moja yatimie

Jasho la Damu

JF-Expert Member
Mar 10, 2011
956
120
Salaam JF

Haya ni maono yangu juu ya kiongozi mkuu wa chama cha ACT hayausiani na utabiri wala njozi yoyote. Mhe ZZK kama utasoma uzi huu yakupasa ufunge mkanda kubadili haya maono. Maono haya nimeyaweka katika dhana ya mapigo 3.
Mapigo hayo ni kama yafuatayo;

1. Kuanzishwa kwa UKAWA
Hili ni pigo lililofuta kabisa upepo wa ZZK kuhama na kuitikisa CDM. Wachambuzi wengi wa siasa akiwemo yeye mwenyewe ZZK waliamini kuhama/kufukuzwa kwa ZZK CDM kungeleta maafa makubwa ndani ya cdm, ni kweli ulitikisa cdm kwa muda mfupi lkn dhana ya UKAWA ilpokuja ilikufuta katika headlines za media zetu na huo ukawa mwanzo wa ZZK kusahaulika.

2. LOWASA kuhamia CDM/UKAWA
Mhe ZZK hili ni pigo ambalo hutakaa ulisahau katika maisha yako yote ya siasa. LOWASA ni tunda ulilokuwa unalisubiri muda mrefu liive ili ulimenye na kula uongeze afya ya chama chako cha ACT lkn kwa bahati mbaya mtoto wa mjini ambaye ni mwalimu wako wa siasa Freeman A. Mbowe amekupiga bao dk za mwisho wakati unasubiri tunda LOWASA lianguke uliokote, yeye kalipandia juu na kuliwai kulichuma. Amini amini nakuambia Hili pigo litakutesa na litazaa pigo la 3 litakalokufuta kabisa kwenye siasa. Ukiona Dr. Kitila Mkumbo akiwapongeza cdm kumchukua LOWASA ujue safari ya ikulu imekaribia

3. KUKOSA UBUNGE

Mhe ZZK omba Mungu Serukamba asibadili mawazo akaamua kugombea kupitia UKAWA, ubunge utabaki historia kwako. Naiona nguvu kubwa ya UKAWA ambayo hutaweza kuizuia kuchukua jimbo utakalogombea ama majimbo yote ya kigoma. Pia pole zangu zimwendee Mhe Machali naona safari hii ameamua kupishana na bahati ya Ubunge tutakumis sana bungeni.

USHAURI
Tafuta mashauriano na UKAWA ikiwezekana muombe radhi Mbowe akipokee chama chako ndani ya UKAWA. Nina imani mbowe yupo tayari kukusamehe na kukurudisha kundini kwani yeye ndiye aliyekutoa kisiasa.

Wenu
Jasho la damu

cc: Zitto
 
Hayo ni maoni yako yaweke kibindoni.Ni kama malaria tu unaugua mwenyewe katafute dawa mwenyewe kunywa upone.
 
Nakumbuka wakati nipo chuo kikuu mlimani mwaka wa pili mwaka 2003. Zito Kabwe na Halima Mdee walikuwa wanafanya kazi ya kuhamasisha Chama CHADEMA na kulipwa na MH. MBOWE. Tulialikwa pale Bilicanas kuhamasishwa kwa ajili ya kujiunga na chama na ndio wamepatikana leo wakina Mnyika na wengine wengi sana. Zito katokea mbali jamani mbowe ndio mlezi wake kisiasa. Ndio hivyo tena. Mbowe ni mtoto aliyezaliwa mjini posta kakulia posta na hela. Zito hawezi mwambia lolote kabisa.
 
Nakumbuka wakati nipo chuo kikuu mlimani mwaka wa pili mwaka 2003. Zito Kabwe na Halima Mdee walikuwa wanafanya kazi ya kuhamasisha Chama CHADEMA na kulipwa na MH. MBOWE. Tulialikwa pale Bilicanas kuhamasishwa kwa ajili ya kujiunga na chama na ndio wamepatikana leo wakina Mnyika na wengine wengi sana. Zito katokea mbali jamani mbowe ndio mlezi wake kisiasa. Ndio hivyo tena. Mbowe ni mtoto aliyezaliwa mjini posta kakulia posta na hela. Zito hawezi mwambia lolote kabisa.
Huu ni ukweli ambao ACT hawatak kuusikia
 
No wonder huwezi kutumia jina lako halisi. Hizi ni siasa, nani alikwambia Lowasa leo angeenda Chadema? Siasa zinaenda na upepo, na si lazima ZZK arudi CDM.
 
Maneno kuntu haya kutoka kwa mtoa post. ZZK kama unamasikio na uyasikie na kama una macho uyasome sasa
 
Brother CDM ni chama kisichokuwa na misingi wala hakijui kinasimamia nini. Niwasaka tonge kama wenzao wa CCM. Lakini its better waCCM kwani tunawajua uovu wao kulikoCDM ambao hawatuwajui. Take this to the Bank, CDM/Lowassa hawatashinda uchaguzi huu. Mimi ambaye si mpiga kura safari hii napiga, tena nampigia mtu yoyote mradi si CDM/Lowassa. Inashangaza sana eti leo Lowassa ni mzuri kuliko ZZK? Kweli Mboye na baba mkwe wake amewabaka wengi huko CDM.
 
Salaam JF

Haya ni maono yangu juu ya kiongozi mkuu wa chama cha ACT hayausiani na utabiri wala njozi yoyote. Mhe ZZK kama utasoma uzi huu yakupasa ufunge mkanda kubadili haya maono. Maono haya nimeyaweka katika dhana ya mapigo 3.
Mapigo hayo ni kama yafuatayo;

1. Kuanzishwa kwa UKAWA
Hili ni pigo lililofuta kabisa upepo wa ZZK kuhama na kuitikisa CDM. Wachambuzi wengi wa siasa akiwemo yeye mwenyewe ZZK waliamini kuhama/kufukuzwa kwa ZZK CDM kungeleta maafa makubwa ndani ya cdm, ni kweli ulitikisa cdm kwa muda mfupi lkn dhana ya UKAWA ilpokuja ilikufuta katika headlines za media zetu na huo ukawa mwanzo wa ZZK kusahaulika.

2. LOWASA kuhamia CDM/UKAWA
Mhe ZZK hili ni pigo ambalo hutakaa ulisahau katika maisha yako yote ya siasa. LOWASA ni tunda ulilokuwa unalisubiri muda mrefu liive ili ulimenye na kula uongeze afya ya chama chako cha ACT lkn kwa bahati mbaya mtoto wa mjini ambaye ni mwalimu wako wa siasa Freeman A. Mbowe amekupiga bao dk za mwisho wakati unasubiri tunda LOWASA lianguke uliokote, yeye kalipandia juu na kuliwai kulichuma. Amini amini nakuambia Hili pigo litakutesa na litazaa pigo la 3 litakalokufuta kabisa kwenye siasa. Ukiona Dr. Kitila Mkumbo akiwapngeza cdm kumchukua LOWASA ujue safari ya ikulu imekaribia

3. KUKOSA UBUNGE
Mhe ZZK omba Mungu Serukamba asibadili mawazo akaamua kugombea kupitia UKAWA ubunge utabaki historia kwako. Naiona nguvu kubwa ya UKAWA ambayo hutaweza kuizuia kuchukua jimbo utakalogombea ama majimbo yote ya kigoma.

USHAURI
Tafuta mashauriano na UKAWA ikiwezekana muombe radhi Mbowe akipokee chama chako ndani ya UKAWA. Nina imani mbowe yupo tayari kukusamehe na kukurudisha kundini kwani yeye ndiye aliyekutoa kisiasa.

Wenu
Jasho la damu

Kumbe anatakiwa atubu pia Kiongozi Mkuu kimemuuma sana kumkosa Lowasa
 
Huu ni ukweli ambao ACT hawatak kuusikia

Tatizo la Watanzania wengi wahaelewi historia ya vyama vingi nchini especially CHADEMA. Uhai wa CDM umejengwa kwa ujasiri na juhudi kubwa sana na Mh. Mbowe tangu alipokabidhiwa jamvi na kuwa mwenyekiti wa chama. Karibia asilimia 80 ya vijana waliopo CHADEMA ni zao la mbowe. Zitto Kabwe nakumbuka wakati huo alikuwa anatumwa na kupewa hela za kuorganise wanachuo kwenda kwenye vikao vya chama Pale BILICANAS. Na hapo alikuwa anapiga bao hela ya usafiri. Kwa kweli mtu ambaye naona si mlafi wa hela ni Halima mdee maana alikuwa anakuja UCLAS by that time na kutoa usafiri bure. Ila ZZK hela ya usafiri alikuwa anakula watu wanajitolea kupanda basi kwa gharama zao kwenda kumsikiliza Mh. Mbowe na Chacha Wange RIP.
 
Salaam JF

Haya ni maono yangu juu ya kiongozi mkuu wa chama cha ACT hayausiani na utabiri wala njozi yoyote. Mhe ZZK kama utasoma uzi huu yakupasa ufunge mkanda kubadili haya maono. Maono haya nimeyaweka katika dhana ya mapigo 3.
Mapigo hayo ni kama yafuatayo;

1. Kuanzishwa kwa UKAWA
Hili ni pigo lililofuta kabisa upepo wa ZZK kuhama na kuitikisa CDM. Wachambuzi wengi wa siasa akiwemo yeye mwenyewe ZZK waliamini kuhama/kufukuzwa kwa ZZK CDM kungeleta maafa makubwa ndani ya cdm, ni kweli ulitikisa cdm kwa muda mfupi lkn dhana ya UKAWA ilpokuja ilikufuta katika headlines za media zetu na huo ukawa mwanzo wa ZZK kusahaulika.

2. LOWASA kuhamia CDM/UKAWA
Mhe ZZK hili ni pigo ambalo hutakaa ulisahau katika maisha yako yote ya siasa. LOWASA ni tunda ulilokuwa unalisubiri muda mrefu liive ili ulimenye na kula uongeze afya ya chama chako cha ACT lkn kwa bahati mbaya mtoto wa mjini ambaye ni mwalimu wako wa siasa Freeman A. Mbowe amekupiga bao dk za mwisho wakati unasubiri tunda LOWASA lianguke uliokote, yeye kalipandia juu na kuliwai kulichuma. Amini amini nakuambia Hili pigo litakutesa na litazaa pigo la 3 litakalokufuta kabisa kwenye siasa. Ukiona Dr. Kitila Mkumbo akiwapongeza cdm kumchukua LOWASA ujue safari ya ikulu imekaribia

3. KUKOSA UBUNGE
Mhe ZZK omba Mungu Serukamba asibadili mawazo akaamua kugombea kupitia UKAWA, ubunge utabaki historia kwako. Naiona nguvu kubwa ya UKAWA ambayo hutaweza kuizuia kuchukua jimbo utakalogombea ama majimbo yote ya kigoma. Pia pole zangu zimwendee Mhe Machali naona safari hii ameamua kupishana na bahati ya Ubunge tutakumis sana bungeni.

USHAURI
Tafuta mashauriano na UKAWA ikiwezekana muombe radhi Mbowe akipokee chama chako ndani ya UKAWA. Nina imani mbowe yupo tayari kukusamehe na kukurudisha kundini kwani yeye ndiye aliyekutoa kisiasa.

Wenu
Jasho la damu

ZZK amuombe radhi Mbowe ? ha ha ha
 
ZZK lazima aikumbuke historia ya maisha yake. Msingi wa mafanikio yake leo ni zao la malezi bora toka kwa CDM pamoja na utambulisho wa kisiasa alioupata toka kwa mtoto wa mjini mh. Mbowe. Tambueni leo hii zzk anajiona mjanja kwa sababu alionyeshwa kila kona ya mji huu na mbowe wakati akiwa anafanya kazi ya uhamasishaji na kulipwa na mbowe. Kumbukeni enzi hizo CDM ilikuwa na wabunge wawili tuu. Mh. Slaa na Mzee Ndesamburo tuu bungeni.
 
Salaam JF

Haya ni maono yangu juu ya kiongozi mkuu wa chama cha ACT hayausiani na utabiri wala njozi yoyote. Mhe ZZK kama utasoma uzi huu yakupasa ufunge mkanda kubadili haya maono. Maono haya nimeyaweka katika dhana ya mapigo 3.
Mapigo hayo ni kama yafuatayo;

1. Kuanzishwa kwa UKAWA
Hili ni pigo lililofuta kabisa upepo wa ZZK kuhama na kuitikisa CDM. Wachambuzi wengi wa siasa akiwemo yeye mwenyewe ZZK waliamini kuhama/kufukuzwa kwa ZZK CDM kungeleta maafa makubwa ndani ya cdm, ni kweli ulitikisa cdm kwa muda mfupi lkn dhana ya UKAWA ilpokuja ilikufuta katika headlines za media zetu na huo ukawa mwanzo wa ZZK kusahaulika.

2. LOWASA kuhamia CDM/UKAWA
Mhe ZZK hili ni pigo ambalo hutakaa ulisahau katika maisha yako yote ya siasa. LOWASA ni tunda ulilokuwa unalisubiri muda mrefu liive ili ulimenye na kula uongeze afya ya chama chako cha ACT lkn kwa bahati mbaya mtoto wa mjini ambaye ni mwalimu wako wa siasa Freeman A. Mbowe amekupiga bao dk za mwisho wakati unasubiri tunda LOWASA lianguke uliokote, yeye kalipandia juu na kuliwai kulichuma. Amini amini nakuambia Hili pigo litakutesa na litazaa pigo la 3 litakalokufuta kabisa kwenye siasa. Ukiona Dr. Kitila Mkumbo akiwapongeza cdm kumchukua LOWASA ujue safari ya ikulu imekaribia

3. KUKOSA UBUNGE
Mhe ZZK omba Mungu Serukamba asibadili mawazo akaamua kugombea kupitia UKAWA, ubunge utabaki historia kwako. Naiona nguvu kubwa ya UKAWA ambayo hutaweza kuizuia kuchukua jimbo utakalogombea ama majimbo yote ya kigoma. Pia pole zangu zimwendee Mhe Machali naona safari hii ameamua kupishana na bahati ya Ubunge tutakumis sana bungeni.

USHAURI
Tafuta mashauriano na UKAWA ikiwezekana muombe radhi Mbowe akipokee chama chako ndani ya UKAWA. Nina imani mbowe yupo tayari kukusamehe na kukurudisha kundini kwani yeye ndiye aliyekutoa kisiasa.

Wenu
Jasho la damu

Sidhani kama Mbowe ndiye mwenye mamlaka na UKAWA.
Labda useme jingine kuwa amalize tofauti zake na Mbowe ili wale wengine wawe na imani nae ya kumpokea.
 
kiongozi mkuu huenda asionekane tena kwenye magazeti wala kwenye TV, kwani baba wa mitandao kaisha tia timu, ukienda la michezo habari ni yeye udaku utakuta wema na lowasa, ukienda uhuru, wao ni kukanusha ya lowasa, mzalendo ni kukana ya lowasa, Lowasa ndio habari ya jiji mengine tupa kule yakaliwe na wehu wa mitaa.
 
ZZK Will Join UKAWA soon.Kumbukeni sentensi yake msiwaamini wanasiasa..................Move hii itamuweka pazuri zaidi kwani atakuwa na uhakika wa kupata Ubunge,na kwa uhakika kama Taifa bado ZZK anahitajika.

Ninawaone huruma wale waliokimbia!!!!!!!!!!!!!!!
 
Nakumbuka wakati nipo chuo kikuu mlimani mwaka wa pili mwaka 2003. Zito Kabwe na Halima Mdee walikuwa wanafanya kazi ya kuhamasisha Chama CHADEMA na kulipwa na MH. MBOWE. Tulialikwa pale Bilicanas kuhamasishwa kwa ajili ya kujiunga na chama na ndio wamepatikana leo wakina Mnyika na wengine wengi sana. Zito katokea mbali jamani mbowe ndio mlezi wake kisiasa. Ndio hivyo tena. Mbowe ni mtoto aliyezaliwa mjini posta kakulia posta na hela. Zito hawezi mwambia lolote kabisa.

Misaada haiweze kupoteza fikra huru na uhuru wa mtu kufikiri anavyoona inafaa. kumlea is not an issue, nilitegemea msomi kama ungechambua maoni yako kwa umakini lkn hakuna tofauti na mburura
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom