Hute
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,537
- 6,459
Nakulaumu sana kwa kutoa mimba, ume ua mzee, umeua binadamu mwenzio, tena mtoto wako, yaani umeua mwanao kabisaaa....pengine huyo angekuja kuwa ndo mtetezi wako...jua katika maisha yako kuwa, mtoto wa kwanza huwa na baraka za kipekee, nyota ya mtoto wa kwanza ni tofauti kabisa na zile za wengine...hivyo umepoteza kitu cha maana sana katika maisha yako....lakini basi utafanyaje sasa omba tu msamaha kwa Mungu, lakini ukae ukijue kuwa umemuua mtoto wako mwenyewe.