Mapenzi yalivonitia umasikini.

jamani, tusipende kulaumu watu wengine kwa matatizo yetu.

Weakness ni zako mwenyewe, huna maamuzi yako as an individual, unafuata upepo sana.

Upepo 1:
mwanamke kukuhamisha nyumba na kuhamia usiyoweza kugharamikia bila athiri maisha yako.

upepo 2.
Mwanamke kujichomeka kwako bila wewe kuwa tayari, ni aje kama ungemwambia kaa kwako kwanza hadi nijipange.

Upepo 3.
Kufanya ngono zembe na kusema msichana asibebe mimba. Hii ni sawa na kupanda bangi na kutegemea uote mchicha.

Upepo 4.
Kuacha kazi bila kuwa na mkataba wa kazi mpya uliosainiwa na kukabidhiwa kwa mwajiri mpya. Hii ni taboo kwa walioajiriwa kufanya ulivyofanya.

Pole, usisingizie mapenzi, jiangalie upya wewe na maamuzi yako.


Dah!nimeipenda hii analysis dada yetu..sidhani kama kuna haja ya kuongeza neno..kweli kuna haja ya kushirikisha ubongo hata pale moyo unapojitoa kimbelembele..
 
Angalia na wewe usije ukala savings.
Ukisikia Wana Dar es salaam basi ndio siye, ratiba inaanzia kwenye supu asubuhi, unavuwa viatu unampa shoeshine anaking'arisha saa nzima unapata magazeti ya leo leo, maana soft copy zinaumiza macho baadaye lunch ndio sasa simu za kazi zinaanza, na muda wa kutengeneza pesa hauzidi masaa mawili.
Huyo savings yangu ataimaliza vipi? na utaratibu wetu mjini ni kula uliwe, leo mimi kesho wewe, huwezi kaolewe na BOT.
 
vipi na wewe ungehakikisha unamsaidia kufuatilia njia mliyoshauriwa, bado mgepeana mimba??

Unaonekana baada ya kutoka hospital ulimwachia jukumu 100% huku wewe ukisubiria chakula cha usiku peku peku.

Ndio mana akabase upande wa jinsia yake, Nshakusoma Matola. Eti tumeenda mpaka Ushauri wa uzaz wa mpango,akaelekezwa jinc ya kujikinga lakini mwenzangu akabeba mimba, sio kutegesheana huku?
 
We mkaka kwakweli hujajipanga. Kongosho kamaliza kila kitu. Haiwezekani unafanya one major mistake after another. Ebu jipange hata ukianza upya uwe makini kwani sidhani matatizo yako yataishia hapa kwa trend yako...
Wewe ni dhaifu kiasi gani? Hapana kwakweli
 
Last edited by a moderator:
We mkaka kwakweli hujajipanga. Kongosho kamaliza kila kitu. Haiwezekani unafanya one major mistake after another. Ebu jipange hata ukianza upya uwe makini kwani sidhani matatizo yako yataishia hapa kwa trend yako...Wewe ni dhaifu kiasi gani? Hapana kwakweli
Hapana sio dhaifu, Nyie wadada mnachangia kuvuruga maisha yetu kwa kiasi fulani nasikia hua mnashauriana eti ili ku force marriage lazima upate ujauzito na bf wako hapo atakua haruki na vitu kama hivo.
 
Last edited by a moderator:
Binafsi sioni kama mapenzi ndo yamekitia umasikini ila ni maamuzi yako mwenyewe
 
What is the secret of success? Right decisions,
how do you make Right decisions? Experience,
how do you get experience? Wrong decision.

hope umejifunza ki2 kwa maamuz mabovu ya mwanzon,

ni wakat wa kurekebisha sasa.............................

pole na hongera kwa kuwA BABA.........lol
 
kwanza badilisha hilo jina lako halafu rudi hapa nikupe njia ya kutokea


jamani, tusipende kulaumu watu wengine kwa matatizo yetu.

Weakness ni zako mwenyewe, huna maamuzi yako as an individual, unafuata upepo sana.

Upepo 1:
mwanamke kukuhamisha nyumba na kuhamia usiyoweza kugharamikia bila athiri maisha yako.

upepo 2.
Mwanamke kujichomeka kwako bila wewe kuwa tayari, ni aje kama ungemwambia kaa kwako kwanza hadi nijipange.

Upepo 3.
Kufanya ngono zembe na kusema msichana asibebe mimba. Hii ni sawa na kupanda bangi na kutegemea uote mchicha.

Upepo 4.
Kuacha kazi bila kuwa na mkataba wa kazi mpya uliosainiwa na kukabidhiwa kwa mwajiri mpya. Hii ni taboo kwa walioajiriwa kufanya ulivyofanya.

Pole, usisingizie mapenzi, jiangalie upya wewe na maamuzi yako.
 
Du pole sana kaka, naamin kuna k2 umejifunza na hutorudia kosa kama hilo. Pia muombe Mungu akusamehe kwa abortion ulyofanya kwn hyo inaweza kuwa chanzo cha kuandamwa na mikosi ktk maisha. Nakutakia mema ktk malez ya mtoto!
 
Pole sana ndugu yangu,yale yale ya Adam na Hawa,"nyoka kasema tule tunda" mkalila hatimaye mkakutwa uchi,anyways maisha ndivyo yalivyo sidhani kama itakuwa wewe ni wa kwanza kuingia umasikini kisa mapenzi,ingawa kuna walioingia kwenye hayo mapenzi na ikawa ndio chanzo cha mafanikio yao na hasa mnapoamua kuoana kabisa na kuanza kuzaa watoto nyota za wengi hufungukia kwenye hiyo stage,never give up guy,that's what life is all about its full of ups and downs,muombe Mungu atakusaidia na utafanikisha malengo yako just believe him,gfsonwin msaidie jamaa he is broken hearted.
 
imenibidi tu kukuonea huruma maana kiukweli upo kwenye wakati mgumu sana!!! lakini piga moyo konde ipo siku mambo yatakaa sawa!!!:pray2:
 
pole sana ndugu,namwonea huruma huyo dada kwa jinsi unavyomlaumu ni kama vile hukumpenda kwa dhati.Na hivi kapata huo ujauzito,ndo mapenzi kwishney!
 
Pumbavu sana wewe tena umetenda dhambi ya kuua na hyo damu ya mwanao ndo inayokufuatilia na hutokuja kuwa na amani tena katika maisha yako kama hutotubu dhambi hyo......MuME *****!
 
Back
Top Bottom