Mapenzi yalivonitia umasikini.

Kumbuka ni ndugu yangu alonitapeli nilimwamini asilimia 100, afu mkataba wa kaz unaniambia nitoe notice ya mwez mmoja kabla ya kuacha.

mjini hamna cha ndugu bora rafiki wa ukweli kuliko ndugu... Jitahidi kuwa na msimamo hasa kwenye mambo ya mahusiano uzuri wa mwanamke usikufanye ukatumia akili za kiuno badala ya kichwa. acha kazi uone ilivyo kazi kupata kazi, kwahiyo unaitwa baba nani?
 
mjini hamna cha ndugu bora rafiki wa ukweli kuliko ndugu... Jitahidi kuwa na msimamo hasa kwenye mambo ya mahusiano uzuri wa mwanamke usikufanye ukatumia akili za kiuno badala ya kichwa. acha kazi uone ilivyo kazi kupata kazi, kwahiyo unaitwa baba nani?

Yaani n kweli Jiwe, Sikudhani kabisa kama ndugu yangu wa damu kabisa angeweza nisababishia majanga haya. Mbaya zaidi bora angenitapeli tu hela afu angenambia ukweli kua dili limebuma. Ye alinipa 100% kua niende fasta mkoa eti kabla nafasi haijachukuliwa na mtu mwingine. kumbe zotezuga tu. Aaaaaah inauma!
 
Yaani n kweli Jiwe, Sikudhani kabisa kama ndugu yangu wa damu kabisa angeweza nisababishia majanga haya. Mbaya zaidi bora angenitapeli tu hela afu angenambia ukweli kua dili limebuma. Ye alinipa 100% kua niende fasta mkoa eti kabla nafasi haijachukuliwa na mtu mwingine. kumbe zotezuga tu. Aaaaaah inauma!

Ndio hivyo kaka tunajifunza kutokana na makosa jipange upya..
 
jamani, tusipende kulaumu watu wengine kwa matatizo yetu.

Weakness ni zako mwenyewe, huna maamuzi yako as an individual, unafuata upepo sana.

Upepo 1:
mwanamke kukuhamisha nyumba na kuhamia usiyoweza kugharamikia bila athiri maisha yako.

upepo 2.
Mwanamke kujichomeka kwako bila wewe kuwa tayari, ni aje kama ungemwambia kaa kwako kwanza hadi nijipange.

Upepo 3.
Kufanya ngono zembe na kusema msichana asibebe mimba. Hii ni sawa na kupanda bangi na kutegemea uote mchicha.

Upepo 4.
Kuacha kazi bila kuwa na mkataba wa kazi mpya uliosainiwa na kukabidhiwa kwa mwajiri mpya. Hii ni taboo kwa walioajiriwa kufanya ulivyofanya.

Pole, usisingizie mapenzi, jiangalie upya wewe na maamuzi yako.

well said
 
Habari zenu wana Jf.
Leo nimeona ni share na nyie mambo mabaya yaliyonitokea maishani mwangu.
Miaka mitatu iliyopita niligraduate elimu yangu ya chuo na baada ya kukaa miez kadhaa nyumbani hatimaye nikabahatisha ka ajira ofc fulani hivi. Uongo mbaya nikaanza maisha na nikaona ni bora nihame nyumbani ili nikaanze maisha yangu mwenyewe.
Nikaulizia wafanya kazi wenzangu wanitaftie shemu ya kupaga nearby ofc c unajua tena kero ya usafiri na jiji letu? Hatimaye nikapata kijichumba na kisebule karibu na wanapoishi wafanya kazi wenzangu. Maisha yakaenda kajimshahara kangu liweza kuka control vizuri na niliweza kusave kiasi flani huku nikiwa na dreams lukuki kichwani kwangu.
Baada ya mwaka mmoja kuisha ofc iliajiri wafanya kazi wadada watatu ambao mmoja wapo alinivutia kwa kweli. Kama kawaida nikaanza kuimbisha baada ya kataakataa kama miez kadhaa then akanikubalia na akanimba iwe siri kwani teyari alishatongozwa na wafanya kazi wengine pale pale ofcn. Basi mahusiano yakaanza akawa anakuja nyumbani kwangu mara kwa mara, bahati mbaya akawa anaonekana na wale wenzangu tulokua tunaishi nao nearby. Hakuna tena siri. akaniomba tuhame pale nilipokua nikiishi kwani hakua akijisikia amani kila ajapo.
Tukatafuta nyumba ingine safari hii very expensive vyumba viwli na sebule nilipohoji singo boy kumiliki vyote liambiwa wageni wakija je? Baada ya kuhamia tu, Demu nayeye akahamia. Tukawa tukiishi kama mke na mume. nikampa woning please usishike mimba kwani sijafikia hata nusu ya ndoto zangu, tukaenda mpaka ushauri nasaha wakatuelekeza jinc ya kujikinga nayo.
Hagharama zikazidi, Outing, shopping, rent kubwaa n.k vikafanya kalekale ka salary nilikokua mpaka na save kakawa hakatoshi tena, mishahara haigongani tena.
Baada ya miez kadhaa mwenzangu akapata pregna! hapana so sorry tuka abort, nikamuonya tena na tena asishike pls lakini onyo langu halikusaidia. ni baada ya miez miwili tu akashika mimba ingine nikajua kakusudia nkamwambia ajiandae kulea tu.
Kichwa kinachemka, inabidi nitafute kazi ingine yenye kipato maradufu ili niweze kukabiliana na majukumu haya yanayokuja mbeleni. ndipo nilipoangukia mikononi mwa matapeli wa kazi, Wakanitapeli milion moja yangu wakiniahidi watanipatia kazi nje ya jiji. baade wakanambia nisafiri ili nikaanze kazi uko mkoa, nami kwa kua niliwaamini sana isitoshe ni ndugu yangu nika resign kazi nilonayo na kusafiri hadi mkoa.
Kufika huko subiri subiri zikawa nyingi hatimaye nkagundua kua nshatapeliwa na kule nlishaacha. Mpaka leo hii sijapata tena kaz na yule mdada ndo ashajifungua, nimerudi nyumbani yani ni balaa juu ya balaa sijui nifanyaje wadau!

Shit happens, jipange mambo yatakuwa poa, ila uwe mwangalifu sana na maamuzi yoyote kwenye maisha yako, otherwise uwe responsible kwa outcomes, usilalamike sana
 
pole, lakini ndio ukweli nilioona.

Jifunze kufanya maamuzi yako mwenyewe hasa unapokuwa na familia.

Ishi maisha unayoweza kuyamudu bila kukosa usingizi, utakuwa na amani zaidi.

Kazi utapata tu, ila hili liwe somo lisipite hivi hivi.

Hapo umenigusa,jifunze kufanya maamuzi yako mwenyewe,si mapenzi yaliyokufanya maskini ila hukutumia vizuri akili yako katika kupanga maisha ili mwisho wa siku utimize malengo yako.ni hayo tu!
 
Mh!ina maana huyu mchuchu wako hako kamshahara kake yeye
alikuwa anajipodolea tu???
Duuh!kweli umekula za uso we kama vp kacheze kiduku kwa shallow millionaire tu.
 
Pole sana , ila ulitakiwa ubalance equation kabla ya kutoa maamuzi, cku zote b4 making such decisions look at both sides of the coin then utajua ufanyeje.. lazma ulitakiwa ufikirie kama ukikosa kazi ungefanyaje sio kujiachilia moja kwa moja kama ulivyofanya na kwa kujua kbs unayo majukumu makubwa mbeleni. Ushauri, endelea tu kutafuta kazi God is great utapata tu na kwa sasa usichague sana. Ukiwa na pakujishikiza ni rahisi kupata nyingine nzurizaidi.
 
Ahsante mkuu. mi ni Accountant na experience 3 yrs, need more details please tell niku pm.

Meru community Bank wanahitaji internal Auditor but katika course yako uwe umesomea auditing,so waweza apply kama uko na hizo qualification.

Halafu cku zote try to be responsible for your mistakes na sio kuput blames kwa watu wengine
 
Habari zenu wana Jf.
Leo nimeona ni share na nyie mambo mabaya yaliyonitokea maishani mwangu.
Miaka mitatu iliyopita niligraduate elimu yangu ya chuo na baada ya kukaa miez kadhaa nyumbani hatimaye nikabahatisha ka ajira ofc fulani hivi. Uongo mbaya nikaanza maisha na nikaona ni bora nihame nyumbani ili nikaanze maisha yangu mwenyewe.
Nikaulizia wafanya kazi wenzangu wanitaftie shemu ya kupaga nearby ofc c unajua tena kero ya usafiri na jiji letu? Hatimaye nikapata kijichumba na kisebule karibu na wanapoishi wafanya kazi wenzangu. Maisha yakaenda kajimshahara kangu liweza kuka control vizuri na niliweza kusave kiasi flani huku nikiwa na dreams lukuki kichwani kwangu.
Baada ya mwaka mmoja kuisha ofc iliajiri wafanya kazi wadada watatu ambao mmoja wapo alinivutia kwa kweli. Kama kawaida nikaanza kuimbisha baada ya kataakataa kama miez kadhaa then akanikubalia na akanimba iwe siri kwani teyari alishatongozwa na wafanya kazi wengine pale pale ofcn. Basi mahusiano yakaanza akawa anakuja nyumbani kwangu mara kwa mara, bahati mbaya akawa anaonekana na wale wenzangu tulokua tunaishi nao nearby. Hakuna tena siri. akaniomba tuhame pale nilipokua nikiishi kwani hakua akijisikia amani kila ajapo.
Tukatafuta nyumba ingine safari hii very expensive vyumba viwli na sebule nilipohoji singo boy kumiliki vyote liambiwa wageni wakija je? Baada ya kuhamia tu, Demu nayeye akahamia. Tukawa tukiishi kama mke na mume. nikampa woning please usishike mimba kwani sijafikia hata nusu ya ndoto zangu, tukaenda mpaka ushauri nasaha wakatuelekeza jinc ya kujikinga nayo.
Hagharama zikazidi, Outing, shopping, rent kubwaa n.k vikafanya kalekale ka salary nilikokua mpaka na save kakawa hakatoshi tena, mishahara haigongani tena.
Baada ya miez kadhaa mwenzangu akapata pregna! hapana so sorry tuka abort, nikamuonya tena na tena asishike pls lakini onyo langu halikusaidia. ni baada ya miez miwili tu akashika mimba ingine nikajua kakusudia nkamwambia ajiandae kulea tu.
Kichwa kinachemka, inabidi nitafute kazi ingine yenye kipato maradufu ili niweze kukabiliana na majukumu haya yanayokuja mbeleni. ndipo nilipoangukia mikononi mwa matapeli wa kazi, Wakanitapeli milion moja yangu wakiniahidi watanipatia kazi nje ya jiji. baade wakanambia nisafiri ili nikaanze kazi uko mkoa, nami kwa kua niliwaamini sana isitoshe ni ndugu yangu nika resign kazi nilonayo na kusafiri hadi mkoa.
Kufika huko subiri subiri zikawa nyingi hatimaye nkagundua kua nshatapeliwa na kule nlishaacha. Mpaka leo hii sijapata tena kaz na yule mdada ndo ashajifungua, nimerudi nyumbani yani ni balaa juu ya balaa sijui nifanyaje wadau!

mwanaume hutakiwi kudidimia kwenye makosa ulofanya.. unapotea wakati wa kwenda ukirudi ushakuwa mjanja... mpende mweni wako...akupe sapoti kipindi hiki cha mpito.. kaza kalio..ukiwa na juhudi utarejea ktk mstari..
 
Umenichukiza, wakati wengine wanatafuta watoto nyie mnawaua....kwani
THIRD NEWTONS LAW OF MOTION INASEMAJE?
TO EVERY ACTION THERE IS AN EQUAL AND OPPOSITE REACTION.....
Jamani raha zetu zitese viumbe wasio na hatia? Mwombe Mungu akusamehe dhambi hii ya mauaji, Mahusiano ni gharama...ulipokosea kuacha kazi huna kazi BIG MISTAKE NAKUSHAURI USIMLAUMU MTOTO WA WATU HANA HATIA NA MTOTO WAKE, MWACHE ALEE...MAISHA YAKIWA MAGUMU PANGENI SEHEMU YENYE GHARAMA YA CHINI KAFUNDISHE PREFORM ONE MWEZI UJAO HUWA INALIPA....UKIWA UNASIKILIZIA MICHONGO
 
Duh......hii kali, ila huwezi kulaumu maana maamuzi ulifanya mwenyewe na usiseme mapenzi yamesababisha ni maamuzi yako tu.

Binafsi nashukuru kwa somo zuri.
 
Back
Top Bottom