Jiwe Linaloishi
JF-Expert Member
- May 24, 2008
- 3,736
- 2,137
Kumbuka ni ndugu yangu alonitapeli nilimwamini asilimia 100, afu mkataba wa kaz unaniambia nitoe notice ya mwez mmoja kabla ya kuacha.
mjini hamna cha ndugu bora rafiki wa ukweli kuliko ndugu... Jitahidi kuwa na msimamo hasa kwenye mambo ya mahusiano uzuri wa mwanamke usikufanye ukatumia akili za kiuno badala ya kichwa. acha kazi uone ilivyo kazi kupata kazi, kwahiyo unaitwa baba nani?