Dereva wangu wa Bolt kageuza gari yangu danguro

Mr Why

JF-Expert Member
Nov 27, 2019
1,129
1,937
Wakuu hii haki kweli? Nimemuajiri kijana wa miaka 24 kama dereva wa gari yangu inayotoa huduma ya usafiri chini ya kampuni ya Bolt imepita miezi nane tangu nimkabizi.

Nilimpa maelekezo kuwa afunge kazi saa tano kamili usiku na baada ya hapo alete gari nyumbani. Alifuata maelekezo yangu lakini baadae akaomba abaki nayo ili akimaliza kazi aweze kuifanyia usafi.

Nikakubali ombi lake niliona lina mashiko. Baadaye kijana akawa anafunga kazi saa tatu bila mimi kujua, kumbe kuanzia saa tatu mpaka asubuhi anat*mbea na kuf*r*a mashoga ndani ya gari yangu usiku kucha.

Kuna demu wake aliyekuwa anamtafunia kwenye gari yangu wakagombana yule demu akamwambia atamwaribia kazi akaanza harakati za kumtafuta boss wake ambaye ni mimi hatimaye akanipata na kunipa data zote.

Hatimaye nikafuatilia nikagundua ni kweli mtoto yule ni mfir*aj* na mt*mba*j* aliyekubuhu na gari yangu imekuwa kitanda chake cha kufanyia hiyo michezo.

Jana nikamnyang'anya gari nikakabizi kijana mwingine. Kwakweli vijana wenzangu acheni kuingiza hii michezo kazini kwasababu inaharibu malengo.
 
Wakuu hii haki kweli? Nimemuajiri kijana wa miaka 24 kama dereva wa gari yangu inayotoa huduma ya usafiri chini ya kampuni ya Bolt imepita miezi nane tangu nimkabizi.

Nilimpa maelekezo kuwa afunge kazi saa tano kamili usiku na baada ya hapo alete gari nyumbani. Alifuata maelekezo yangu lakini baadae akaomba abaki nayo ili akimaliza kazi aweze kuifanyia usafi.

Nikakubali ombi lake niliona lina mashiko. Baadaye kijana akawa anafunga kazi saa tatu bila mimi kujua, kumbe kuanzia saa tatu mpaka asubuhi anat*mbea na kuf*r*a mashoga ndani ya gari yangu usiku kucha.

Kuna demu wake aliyekuwa anamtafunia kwenye gari yangu wakagombana yule demu akamwambia atamwaribia kazi akaanza harakati za kumtafuta boss wake ambaye ni mimi hatimaye akanipata na kunipa data zote.

Hatimaye nikafuatilia nikagundua ni kweli mtoto yule ni mfir*aj* na mt*mba*j* aliyekubuhu na gari yangu imekuwa kitanda chake cha kufanyia hiyo michezo.

Jana nikamnyang'anya gari nikakabizi kijana mwingine. Kwakweli vijana wenzangu acheni kuingiza hii michezo kazini kwasababu inaharibu malengo.
Hiyo gari itapata laana tu, si kwa laana hizo nimekaa pale 👉👉👉👉
 
Wakuu hii haki kweli? Nimemuajiri kijana wa miaka 24 kama dereva wa gari yangu inayotoa huduma ya usafiri chini ya kampuni ya Bolt imepita miezi nane tangu nimkabizi.

Nilimpa maelekezo kuwa afunge kazi saa tano kamili usiku na baada ya hapo alete gari nyumbani. Alifuata maelekezo yangu lakini baadae akaomba abaki nayo ili akimaliza kazi aweze kuifanyia usafi.

Nikakubali ombi lake niliona lina mashiko. Baadaye kijana akawa anafunga kazi saa tatu bila mimi kujua, kumbe kuanzia saa tatu mpaka asubuhi anat*mbea na kuf*r*a mashoga ndani ya gari yangu usiku kucha.

Kuna demu wake aliyekuwa anamtafunia kwenye gari yangu wakagombana yule demu akamwambia atamwaribia kazi akaanza harakati za kumtafuta boss wake ambaye ni mimi hatimaye akanipata na kunipa data zote.

Hatimaye nikafuatilia nikagundua ni kweli mtoto yule ni mfir*aj* na mt*mba*j* aliyekubuhu na gari yangu imekuwa kitanda chake cha kufanyia hiyo michezo.

Jana nikamnyang'anya gari nikakabizi kijana mwingine. Kwakweli vijana wenzangu acheni kuingiza hii michezo kazini kwasababu inaharibu malengo.
Huyo alienyang'anywa hiyo bolt atakuwa ndio wewe, maana matajiri huwa wanakabidhi na sio kukabizi
 
Back
Top Bottom