Maongezi vijana wa Tanzania; 96% ni pumba

jitu halina A wala B linaishi kwa shemeji kutwa kijiweni kushabikiwa mpira wa ulaya. Ndo maana vitu haviendi vijana mmmelala sana
 
Inaumiza unamkuta kijana hana ulemavu wowote eti kajiandikia daftari kuwa ana hernia anahitaji operesheni anapita madukani kuomba hela ya hospittali
 
Pumba Pumbani yaani kijana hawezi kuzungumza kitu cha maana mfululizo kwa dakika mbili. Huko vyuoni hata kujibu mtihani wanachora MAZOMBI kwenye karatasi za kujibia mitihani. ikifika 2020 tutakuwa na vijana wasiojielewa zaidi ya kubishania mipira ya ULAYA. Wahindi na Wachina ndo watajazana mpaka huko kwenye Biashara ya KU-BET
 
vijana tunachangia uchumi kuporomoka yaani imefikia eti hata kuku wa kisasa tuna-import na hapo kibaha tu tuna mapori yanayotosha kuanzisha ufugaji wa kuku mkubwa wa kulisha hoteli zote za kitalii Dar yote na zanzibar!
 
vijana wanaona aibu kufanya biashara ndogo ndogo wanataka za kujifungia ofisini
 
vijana wanaona aibu kufanya biashara ndogo ndogo wanataka za kujifungia ofisini
SIKU HIZI VIJANA HUWASIKI WAKISIKIA VIPINDI VYA TV AMA REDIO VYA KUELIMISHA
KUTWA NI KUSIKIAA MZKI WA KINA DIAMOND,SINGELI,SNURA YAANI KUTWA NZIMA.....KUIMBAAAA MPAKA WATOTO WADOGO WANA KREMISHA MIZIKI WANAYOISKIAA.....AKILI LAZIMA ZIHAME

OVA
 
niliwahi kumuambia mdogo wangu twende coco beach tukauze korosho pale beach weekend moja, ile kufika tukapark gari nikachukua mfuko wa korosho na gitaa langu nikaanza kuuza kwa watu waliokuwa wakipunga upepo huku nikiwaburudisha kwa muziki wa gitaa. Dogo yeye akaenda kujificha kwenye kichaka
 
HAHAHAHA mimi utotoni nlishawahi uza ive cream za makaratasi
niliwahi kumuambia mdogo wangu twende coco beach tukauze korosho pale beach weekend moja, ile kufika tukapark gari nikachukua mfuko wa korosho na gitaa langu nikaanza kuuza kwa watu waliokuwa wakipunga upepo huku nikiwaburudisha kwa muziki wa gitaa. Dogo yeye akaenda kujificha kwenye kichaka
 
ukitaka kusikiliza pumba za vijana mpigie huyu 0653 943102 utachokaaaa.
 
ni kweli kabisa . naona sasa tumehamia hapa. sijui tunaongea nini cha maana hapa ktk uzi huu zaidi ya kuwasema watu. bora tena wanaoongelea mfano mpira...ni moja ya burudani.
 
Mbona huu uzi umekuwa kijiwe cha porojo na umbea? Mtoa hoja unaweza jitofautisha vipi na hao 95% ilhali wewe mwenyewe unachangia kama mlevi?

Hata huku mitaani kuna wakuu wa vijiwe vya poroja, na kwenye huu uzi wewe ndiye mkuu wa porojo..
 
Back
Top Bottom