Kagosaki
JF-Expert Member
- Feb 11, 2010
- 208
- 56
Mbona aliuawa Prof. Mwaikusa na hadi leo hakuna mtu aliekamatwa na hatujasikia kesi yeyote....kwani Barlow ni kiongozi wa kwanza kupigwa risasi? Je Prof. nae sio kiongozi? Au angekuwa muuza mitumba je polisi wangehaha ki hivyo? Kila anaekufa alizaliwa na wazazi wake na uchungu ni huohuo bila kujali cheo cha mtu. Hivyo wangekuwa wanatoa kauli hizo tangu mwanzo. Je filamu ya Kova juu ya Dr. Ulimboka nayo imeishia wapi?