Mwanamayu
JF-Expert Member
- May 7, 2010
- 11,349
- 6,476
Ukweli hatuna viongozi wala watendaji bali tuna kundi la wendawazimu wanaojua kuropoka kila wanapoona hadhira.
Kauli kama hizo katika tukio hili zimetolewa pia na Lukuvi, Nchimbi, Rubani.
Nchi yetu sasa ni ya visasi na sio kufuata sheria tena!!
Bosi wao mkuu ni kinara wa visasi, sasa tutegemee nini kwa wa chini yake?!!