Manji ni Mzima na yupo Nairobi na anazungumza. Jambo la ajabu, ametokea ICU na hawezi kuzungumza lakini leo ameongea na mtu kwa simu akiwa MZIMA WA AFYAAAAAAAAAAAAAAA!!!!!! Wajinga ndio waliwaaaaoooo!!!!!!!!!!!! Mwanyika, Mwema, Hosea.... Kalabahooooo!!!
Manji ni Mzima na yupo Nairobi na anazungumza. Jambo la ajabu, ametokea ICU na hawezi kuzungumza lakini leo ameongea na mtu kwa simu akiwa MZIMA WA AFYAAAAAAAAAAAAAAA!!!!!! Wajinga ndio waliwaaaaoooo!!!!!!!!!!!! Mwanyika, Mwema, Hosea.... Kalabahooooo!!!
Mkuu Halisi kwa hili umeniacha hoiiiiiiii maana sijambulia kitu, unamaana gani mkuu?
Kwani ilikuwaje, Muungwana si alisema jamaa wamepokwa pasi zao za kusafiria?
manji haumwi maleria wala nini...habari za uhakika kuwa alikunywa sumu akitaka kujiua.. more details to come. na sababu za kunywa sumu zinafahamika tayari
Kwani ilikuwaje, Muungwana si alisema jamaa wamepokwa pasi zao za kusafiria?
Mkuu kama umezifahamu hizo sababu zilizopelekea Manji kunywa sumu si uziweke hapa hadharani.........
Hata mimi nimesikia kutoka kwa watu wa Gymkana na watu wa Yanga, tena wote viongozi waandamizi wanaoheshimika. Si jambo jema la kufurahia lakini tuangalie haya madawa, sheria inasemaje?
Kifupi Manji yu hai, Period! Yaliyobaki ni uchimvi.
Mod badilisha title ya hii thread au iondoe kabisa kwani inadanganya.
NN
Kifupi Manji yu hai, Period! Yaliyobaki ni uchimvi.
Mod badilisha title ya hii thread au iondoe kabisa kwani inadanganya.
NN