Kuna taarifa kwamba, Yussuf Manji, amechanganyikiwa kwa kula unga, huku baadhi ya watu wakidai kwamba amelogwa na Simba, wakati ndugu zake wakawa wanasema tokea jana alizidisha kubwia unga hadi akachanganyikiwa, na alipokwenda kupimwa Agakhan leo ndio akatoroka na kuendesha gari kwa fujo huku akitaka kugonga akaenda Gymkana Club. Pale club wahindi wenzake walipombembeleza akawa anawatimua hadi ndugu zake na watu wa Yanga, akiwamo Jamal Malinzi ndio wakafanikiwa kumuondoa.
Habari ndio hiyo. Huyo ndiye mfadhili wa CCM na Swahiba wa JK na kundi lake
Habari ndio hiyo. Huyo ndiye mfadhili wa CCM na Swahiba wa JK na kundi lake