fuentte
JF-Expert Member
- Jul 30, 2015
- 2,546
- 7,172
Arsenal jana mmeshinda goli ngapi dakika za mwanzoni?Nyie hata point muwe sawa na wale nafasi za juu ,kwa mpira wenu wa janja janja mtapotea
Mmeshinda mechi 3 ,against mid teams halafu zimewasumbua Sana, kama luton
Magoli ya dakika za mwisho