Eddo Sambai
JF-Expert Member
- Aug 1, 2013
- 2,351
- 1,781
Hakuna yeyote mwenye shot clip ya hili goli tafadhali atupie humu ili na sisi tuone
Hakuna yeyote mwenye shot clip ya hili goli tafadhali atupie humu ili na sisi tuone
Alicheza game za mwanzo..akapata injury..HUYU MAINOO NI KABILA GANI? NA KWA NINI ALIKUWA ANAKAA BENCHI?
Hili goli wapelekewe arsenal washangae kidogo maana kwetu magoli bora ya msimu kama haya tumeishayazoea tangu enzi.
Kama kawaida yetu,dakika 15-20 za mwanzoni huwa bora sana. Baada ya hapo uwanja unainamia kwetu.Too many mistakes
Mwingereza mwenye asili ya Ghana.HUYU MAINOO NI KABILA GANI? NA KWA NINI ALIKUWA ANAKAA BENCHI?
Fitness issuesKama kawaida yetu,dakika 15-20 za mwanzoni huwa bora sana. Baada ya hapo uwanja unainamia kwetu.
Sijui huwa tunafanya mazoezi ya aina ganiFitness issues
These guys are uncoacheable.Kipara anafundisha nini?
Angalia walivyo slow sana kwenye reactions fitness ni ndogo sanaSijui huwa tunafanya mazoezi ya aina gani
Hakuna yeyote mwenye shot clip ya hili goli tafadhali atupie humu ili na sisi tuone
Hio migoli ya namna hio hua inanifanya niwe namkumbuka Wayne Rooney.Garnacho kapiga bonge moja la goal
Kukatwa kwa points, Everton wanaenda kuwa hatari sana kwa yoyote atakae simama mbele yake Hadi atoke Kule chini ndio atarudi kwenye default yakeHio migoli ya namna hio hua inanifanya niwe namkumbuka Wayne Rooney.
Ila timu letu bwana dakika 10 tu za mwanzo ndio walau hua tunacheza mpira unaonekana ila baada ya hapo ni mwendo wa kuzitia phumbu kabali.
Ila leo naona dakika zimeongezeka kidogo, tumecheza mpira wa kueleweka kwa dakika 20 za mwanzo, kipindi cha pili sijui hata hali itakuwaje maana michezaji yetu ikiwa inaongoza kwa goli moja huona tayari kazi waliyotumwa uwanjani wameshaikamilisha wanaanza kurelax.
Leo Scot anafanya nini humo ?Rashford ni tatizo kwetu,siku akiondolewa tutajilaumu sana kwanini tulichelewa kumuuza.