trigger_
JF-Expert Member
- Apr 9, 2019
- 722
- 1,344
Bora ukutane na City lakini sio Everton iliyopo relegation zone.
Watashuka tu hakuna namna ila mda wa kukimbizana kuhusu relegation bado
Bora ukutane na City lakini sio Everton iliyopo relegation zone.
🚮🚮🚮Mkuu acha kuongea huu uozo.
Rashford karudiana na demu wake ataacha nyeto huyo mshenzi aanze kufunga tena.Leo MannUtd tunaanza ligi rasmi.
Na goal la msimu kabisaGernacho ameleta goal bora la mwezi November 2023
Binafsi naona Rashford hawezi ku-improve zaidi ya hapo alipofikia.EtH akituwekea Pellistri huku kulia na Rashford akaa benchi kutakuwa na shida gani??
Huyo dogo Facundo ni moto wa kuotea mbali.EtH akituwekea Pellistri huku kulia na Rashford akaa benchi kutakuwa na shida gani??
Bora Rashford anapoteza mipira lakini angalao anapambana kufungua nafasi na kuipata..Yule mjinga pale katikati anaitwa Masho kagusa mpira mara tatu dakika zoye 45. Hajui hata aji-position vipi.EtH akituwekea Pellistri huku kulia na Rashford akaa benchi kutakuwa na shida gani??