IMG_8808.jpeg
 
EtH akituwekea Pellistri huku kulia na Rashford akaa benchi kutakuwa na shida gani??
Bora Rashford anapoteza mipira lakini angalao anapambana kufungua nafasi na kuipata..Yule mjinga pale katikati anaitwa Masho kagusa mpira mara tatu dakika zoye 45. Hajui hata aji-position vipi.
 
Back
Top Bottom