Mamba waonekana Bwawa la Chemka

Hapo kwenye mafuriko sijaelewa, maji si yanaanzia huko kwenda tanga? Kwa hiyo mamba wanaenda tofauti na maji na sio kuwa wanapelekwa na maji.
 
JF team nimekutana na hii habari kwenye whatsap, naomba kwa mtu aliye karibu na maeneo ya huko Chemka atuambie kama ni kweli au ni uzushi? Naambatanisha na video na huo ujumbe unaozunguka

Kinga ni bora kuliko tiba. Hapa ni Chemka kule boma ng’ombe. Sehemu pendwa kwa kuogelea na natural Massage. Tahadhari imetolewa, Bwawa limeingia ruba. Mashuhuda wanasema Mamba wameonekana. Inaaminika Mamba hao wametokea mto Pangani.

Sababu zilizowawezesha Mamba hao kusafiri umbali mrefu inaaminika ni mvua zilizofululiza muda mrefu na mafuriko yaliyoanza Novemba mwaka jana yakaungana na mvua za masika za mwaka huu.

View attachment 2966676
Chemka ni wapi
 
Nisaideni nikiwa Moshi Arusha highway unaingilia wapi kueleka huko? Na ni kilomita ngapi kutoka barabara kuu kufika huko? Je njia ya kufika huko inapitika kwa mwaka mzima kwa gari ndogo amabayo haina fourwheel? Nataka kufanya utalii wa ndani huko baadaye mwaka huu.
Ukishafika Bomang'ombe ulizia barabara ya kwenda chemka maana panafahamika ..km nadhani 14-16(kati ya hizo), barabara ni ya changarawe
 
Kuelewa ka pana mamba, mloko maeneo hayo chukueni mbuzi wawe wanakula maeneo jirani na kunywa maji hapoo mamba alikoonekana >>>>ukiona damu tuu ujue mambo bambam
 
Sijaonaga mamba hapo, labda kenge, au mamba uzalendo umemshinda kujifichaficha akaona ajitose azarani... ila last month tulikua hapo na friends na mmoja alifariki ndani ya maji, ilikuwa tukio ambalo siwez lisahau kbsa
 
Back
Top Bottom