uttoh2002
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 14,765
- 26,674
Ninayo video nyingine ikionyesha mamba akiogelea Chemka ila nashindwa kuiweka hapa
Basi hao Mamba hawana tatizo na wamadamu, nenda chemka mda huu, kuna wafoza ushuru na mashine ya serikali, na kuna watu kibao wanaogelea pale, hao mamba wako watakuwa Marioo