EngFDM
Member
- Feb 2, 2017
- 13
- 28
JF team nimekutana na hii habari kwenye whatsap, naomba kwa mtu aliye karibu na maeneo ya huko Chemka atuambie kama ni kweli au ni uzushi? Naambatanisha na video na huo ujumbe unaozunguka
Kinga ni bora kuliko tiba. Hapa ni Chemka kule boma ng’ombe. Sehemu pendwa kwa kuogelea na natural Massage. Tahadhari imetolewa, Bwawa limeingia ruba. Mashuhuda wanasema Mamba wameonekana. Inaaminika Mamba hao wametokea mto Pangani.
Sababu zilizowawezesha Mamba hao kusafiri umbali mrefu inaaminika ni mvua zilizofululiza muda mrefu na mafuriko yaliyoanza Novemba mwaka jana yakaungana na mvua za masika za mwaka huu.
Kinga ni bora kuliko tiba. Hapa ni Chemka kule boma ng’ombe. Sehemu pendwa kwa kuogelea na natural Massage. Tahadhari imetolewa, Bwawa limeingia ruba. Mashuhuda wanasema Mamba wameonekana. Inaaminika Mamba hao wametokea mto Pangani.
Sababu zilizowawezesha Mamba hao kusafiri umbali mrefu inaaminika ni mvua zilizofululiza muda mrefu na mafuriko yaliyoanza Novemba mwaka jana yakaungana na mvua za masika za mwaka huu.