kumbuka wote walicheza rafu lakini mwizi mmoja akastuka,akaenda kwenye appointment akijua mmewe kacheza rafu na ndio maana jamaa hana raha....na ushahidi kuwa yeye alijua ni mumewe anahangaika ni simu ya shoga yake aliyoitumia na kumueleza shoga yake kuwa leo anaenda kumuumbua shemejie malaya.hadi hapo una la zaidi mheshimiwa mkuu?melezo yako yamepwaya sana...hata nikikuuliza, kwnini ishu iwe kwa mume tu wakakti na mke nae kacheza rafu?
kumbuka wote walicheza rafu lakini mwizi mmoja akastuka,akaenda kwenye appointment akijua mmewe kacheza rafu na ndio maana jamaa hana raha....na ushahidi kuwa yeye alijua ni mumewe anahangaika ni simu ya shoga yake aliyoitumia na kumueleza shoga yake kuwa leo anaenda kumuumbua shemejie malaya.hadi hapo una la zaidi mheshimiwa mkuu?
MAJUZI TU TUMEAMBIWA KUWA KUNA WATU WANA ID ZAIDI YA MOJA,KUMBUKA JAMAA NILIMUULIZA MASWALI MENGI SANA TENA YA MFULULIZO ILI NISIMPE NAFASI YA KUFICHA KITU,.....ANASEMA,YEYE hakujua kwanza kuwa mkewe yupo kwenye huo mtandao,hakuweka picha,yake wala jina lake halisi...anachoshangaa ni mkewe nae kuwemo humo tena kwa jina tofauti linaloanzia na herufi ya.....unalazaidi mkuu? kazi yangu si kukushawishi ila kukueleza what happened.bado hujanishawishi mkuu tall!
halafu kimbweka na avata zake HAPANA JAMANI
kuhoji ni ni muhimu,una la zaidi mkuu?hakuna anaemwandama bwana, kama thread imepwaya watu wasihoji?
kumbuka wote walicheza rafu lakini mwizi mmoja akastuka,akaenda kwenye appointment akijua mmewe kacheza rafu na ndio maana jamaa hana raha....na ushahidi kuwa yeye alijua ni mumewe anahangaika ni simu ya shoga yake aliyoitumia na kumueleza shoga yake kuwa leo anaenda kumuumbua shemejie malaya.hadi hapo una la zaidi mheshimiwa mkuu?
kuhoji ni ni muhimu,una la zaidi mkuu?
wala huhitaji kusema sory mkuu yaani uwe na amani ni wapi bado unaonaona kuna fabrication????? kama hakuna itbidi unyamaze milele.uncordinated fabricated story - to say the least. Sorry to say this.
hamna tall wala hujaniudhi mtu wanguINAELEKEA BABU YAKO ALIKUWA NA BUSARA NA AKILI SANA,SASA WEWE MKUU UNAJIONAJE UMERITHI JAPO KIDOGO AKILI ZAKE? Kama bado yu hai kuwa nae beneti utavuna mengi toka kwake,sina shaka umeiga akili za babu yako na ndio maana ukatoa THANKS kwa mtu ambe dakika chache tu alikuudhi.
...Huenda wife naye alikuwa katika mitego yake na siku hiyo vikaripuka!!! Ndio mambo ya 40 za mwizi hayo!!Inamaana mkewe alikuwa anajua kuwa ni mumewe anayewasiliana naye ama??
toa point mkuu katavi,kwa nini huiamini? Unajua jioni ya leo nakutana na jamaa tuyazungumze.hii ni story ya kutungwa haina ukweli wowote!
pole sana mimi babu zangu wote kwa mawa na baba walishafariki,lakini meeeengi sana nilivuna toka kwao,namshukru sana mungu.hamna tall wala hujaniudhi mtu wangu
babu yangu alikuwa na busara sana sema ameshafariki kuna vitu alikuwa anaongea natamani ningekuwa naviandika
kwa vile yeye aligundua kwanza kuwa mumewe mwizi na ushahidi kaacha kwa shoga yake. una la zaidi mkuu....si unajua? wote wakosefu lakini mkamatwa na ngozi ndie mwizi na ndio maana bibie aliwahi mapemaaaaaa saa 11 yupo pale kumuumbua husband.ninalo!...kwanini mke amshikie bango mumewe wakati wote wamecheza rafu?
Unajua Tall inakuwa vigumu kwa mambo yote hayo kutokea kati ya mume na mke bila wao wenyewe kujua! Si rahisi kuamini. Enewei labda kweli imetokea kwa maana dunia haiishi maajabu!toa point mkuu katavi,kwa nini huiamini? Unajua jioni ya leo nakutana na jamaa tuyazungumze.
Sasa kidogo nimeanza kuamini, kumbe ulikuwa mtego!!!!!!!kwa vile yeye aligundua kwanza kuwa mumewe mwizi na ushahidi kaacha kwa shoga yake. una la zaidi mkuu....si unajua? wote wakosefu lakini mkamatwa na ngozi ndie mwizi na ndio maana bibie aliwahi mapemaaaaaa saa 11 yupo pale kumuumbua husband.
nimesema hiviiiiiii mke alimshitukia mumewe baada ya mumewe kumtajia mkewe kuwa anafanya kazi kwenye taasisi za pesa,sasa mke baada ya kufikiria kuwa mumewe ni benka akaanza kujumlisha na kutoa.Alienda pale akihisi kuwa yule aweza kuwa mumewe,sasa ngoja akamuumbue amezidi umalaya.....una la zaidi mkuu?kama huna la zaidi ukae kimya milele.Unajua Tall inakuwa vigumu kwa mambo yote hayo kutokea kati ya mume na mke bila wao wenyewe kujua! Si rahisi kuamini. Enewei labda kweli imetokea kwa maana dunia haiishi maajabu!