- Thread starter
- #21
mkuu,huyu jamaa nilipoongea nae alinijulisha kuwa huwa yeye anatumia laini ya voda, akanua laini mpya ya tigo siku chache kabla ya tukio. hiyo laini akawa anaiweka ofisini kwake,mkewe haijui na hakutaka aijuena kaam huo mtego aliuweka bac mtoa thread aje atuambie na no ya cmu ilibadilishwa, vinginevyo hii kitu ni ngumu.