Makubwa yaliyompata jamaa yangu

na kaam huo mtego aliuweka bac mtoa thread aje atuambie na no ya cmu ilibadilishwa, vinginevyo hii kitu ni ngumu.
mkuu,huyu jamaa nilipoongea nae alinijulisha kuwa huwa yeye anatumia laini ya voda, akanua laini mpya ya tigo siku chache kabla ya tukio. hiyo laini akawa anaiweka ofisini kwake,mkewe haijui na hakutaka aijue
 
Leo ijumaa jamaa kachanganyikiwa huyu msameheni............................
 
Jamaa yangu ndio kwanza ameoa, yeye na mkewe wote wanafanya kazi benki, sio ofisi moja.

Katika pitapita zake kwenye internet, kakutana na blog ya facebook, kasachiiiiiiiii, hadi kikaeleweka kampata binti mmoja aliyemvutia kimeseji na kusikia ni wale watokao moja ya makabila ya Arusha, akazidi kuchanganyikiwa, maana kabila hilo wasichana wake huwa wanamuacha hoi daima, hata mkewe anatoka kabila hilohilo.

Sijui ni shetani, sijui ni kutoridhika na mkewe, sijui ni tamaa, au labda sijui ni ukware tu... ila kilichofuata ni kuwa akawa na mapenzi mazito na huyo dada. Yeye jamaa yangu hakutaja jina lake halisi.

Jana jioni waliamua wakutane saa 12 jioni kwenye bar fulani maeneo ya kinondoni. Kwa vile kila mtu ana simu ya mwenzake hivyo walikubaliana, wakifika sehemu hiyo watapigiana. Huyu jamaa ananiambia kuwa walielezana pia kuwa kila mtu atavaaje, huyo dada alisema angevaa gauni la blue na jamaa akasema atavaa shati jeupe mikono mirefu... nilishasema huyu jamaa ni benka hivyo hapo ni kuvua tai tu na kuingia bar.

Jamaa saa 12 kasorobo akatia timu bila kuchelewa, kabla hajafika eneo la tukio akapiga simu na akaelekezwa na bibie eneo alipokaa kwani yeye bibie keshafika saa nyingi anamngoja. Jamaa akaingia bar kwa mikogo yote huku akipepesa macho na udenda ukimtoka, kwa vyovyote ville mkono wa kulia ukiwa mfukoni mwa suruali.

Kulia alimwona mrembo mmoja amekaa kavalia gauni la bluu, looooh alipoangalia vizuri kumbe ni MKEWE WA NDOA NDIE WANATAZAMANA NAE USO KWA USO.

Anasikitika sana kwa yaliyomkuta, anasema sasa ndoa yake inalegalega, ANAMPENDA SANA MKEWE. ANAJUTIA FACEBOOK.

UNASEMAJE MWANA JF? AFANYEJE KUWEKA MAMBO SAWA?

Hii story ina walakini. Ina maana humo kwenye facebook wote waliweka picha za bandia? By the way, kama kweli ni mkewe, basi hapo hakuna ndoa, maana inaonyesha wife alikuwa anatafuta mtu mwingine nje ya ndoa na jamaa naye alikuwa anaendelea. Kwa hiyo hapo waombane msamaha waendelee.
 
mkuu,huyu jamaa nilipoongea nae alinijulisha kuwa huwa yeye anatumia laini ya voda, akanua laini mpya ya tigo siku chache kabla ya tukio. hiyo laini akawa anaiweka ofisini kwake,mkewe haijui na hakutaka aijue

Naye mkewe pia alikuwa na a secret line ambayo hakutaka mumuwew aiujue eh????? mbona ndoa ndoana kabisa...still the story does not add up!!!

N
 
Tall tuombe radhi wana jf najua ulitereza tu, ukubwa dawa
mkuu wangu funza dume umeongea vizuri,nipe evidence wapi nilipoteleza,vinginevyo IT STANDS STILL.LABDA TATIZO INFORMATION ILIKUWA INCOMPLETE.........au aaaah,naanza KUELEWA kwa hiyo inamaa na inawezekana story nyingi za humu WANA jf wanatunga tunga tu?? nieleze mkuu maana wewe ni mwenyeji hapa JF kuliko mimi.
 
Naye mkewe pia alikuwa na a secret line ambayo hakutaka mumuwew aiujue eh????? mbona ndoa ndoana kabisa...still the story does not add up!!!

N
mkuu shishi,unaefanana na tomaso wa kwenye biblia(asieamini hadi aone)nimesema mkewe alitumia simu ya shoga yake baada ya kumshitukia mumewe kwenye mawasiliano ya internet....naona sasa akili yako mkuu inaanza kurudi je una la zaidi????? ha ha ha ha.
 
Jamaa yangu ndio kwanza ameoa, yeye na mkewe wote wanafanya kazi benki, sio ofisi moja.

Katika pitapita zake kwenye internet, kakutana na blog ya facebook, kasachiiiiiiiii, hadi kikaeleweka kampata binti mmoja aliyemvutia kimeseji na kusikia ni wale watokao moja ya makabila ya Arusha, akazidi kuchanganyikiwa, maana kabila hilo wasichana wake huwa wanamuacha hoi daima, hata mkewe anatoka kabila hilohilo.

Sijui ni shetani, sijui ni kutoridhika na mkewe, sijui ni tamaa, au labda sijui ni ukware tu... ila kilichofuata ni kuwa akawa na mapenzi mazito na huyo dada. Yeye jamaa yangu hakutaja jina lake halisi.

Jana jioni waliamua wakutane saa 12 jioni kwenye bar fulani maeneo ya kinondoni. Kwa vile kila mtu ana simu ya mwenzake hivyo walikubaliana, wakifika sehemu hiyo watapigiana. Huyu jamaa ananiambia kuwa walielezana pia kuwa kila mtu atavaaje, huyo dada alisema angevaa gauni la blue na jamaa akasema atavaa shati jeupe mikono mirefu... nilishasema huyu jamaa ni benka hivyo hapo ni kuvua tai tu na kuingia bar.

Jamaa saa 12 kasorobo akatia timu bila kuchelewa, kabla hajafika eneo la tukio akapiga simu na akaelekezwa na bibie eneo alipokaa kwani yeye bibie keshafika saa nyingi anamngoja. Jamaa akaingia bar kwa mikogo yote huku akipepesa macho na udenda ukimtoka, kwa vyovyote ville mkono wa kulia ukiwa mfukoni mwa suruali.

Kulia alimwona mrembo mmoja amekaa kavalia gauni la bluu, looooh alipoangalia vizuri kumbe ni MKEWE WA NDOA NDIE WANATAZAMANA NAE USO KWA USO.

Anasikitika sana kwa yaliyomkuta, anasema sasa ndoa yake inalegalega, ANAMPENDA SANA MKEWE. ANAJUTIA FACEBOOK.

UNASEMAJE MWANA JF? AFANYEJE KUWEKA MAMBO SAWA?
Namba zao za simu je? Ina maana kila mmoja alikuwa anatumia line ya siri ambayo haiujulikani kwa mwenzake? Yaweza kuwa kweli ila logic hamna hapa. Stori za kutunga tuziacheni zitatupotezea mda, watu hapa wa rear stories za kusisimua sana lakini bado hawajaona haja ya kuzianika, wewe unatuletea za kutunga? No thank you!
 
mkuu wangu funza dume umeongea vizuri,nipe evidence wapi nilipoteleza,vinginevyo IT STANDS STILL.LABDA TATIZO INFORMATION ILIKUWA INCOMPLETE.........au aaaah,naanza KUELEWA kwa hiyo inamaa na inawezekana story nyingi za humu WANA jf wanatunga tunga tu?? nieleze mkuu maana wewe ni mwenyeji hapa JF kuliko mimi.
mie mwenyewe mgeni sema tu naongea sana

nimetokea mtandao mwingine ulikuwa maarufu baadae ukaanguka kama kipindi cha SEREBUKA

ila mkuu uongo si kazi hiyo story umetunga
 
tall hapo umenifuraisha mpk nimekiliki thanks, babu yangu aliniambia mtu akikutusi mwombee mema kwa MUUMBA na ndicho ulichokifanya hapo
INAELEKEA BABU YAKO ALIKUWA NA BUSARA NA AKILI SANA,SASA WEWE MKUU UNAJIONAJE UMERITHI JAPO KIDOGO AKILI ZAKE? Kama bado yu hai kuwa nae beneti utavuna mengi toka kwake,sina shaka umeiga akili za babu yako na ndio maana ukatoa THANKS kwa mtu ambe dakika chache tu alikuudhi.
 
mie mwenyewe mgeni sema tu naongea sana

nimetokea mtandao mwingine ulikuwa maarufu baadae ukaanguka kama kipindi cha serebuka

ila mkuu uongo si kazi hiyo story umetunga
basi mkuu tujitahidi tuchangie changie na huu mtandao wetu usife tulishauzoea,...... Na hasa mimi sijui kwa nini hadi leo sija contribute chochote.
 
mkuu wangu funza dume umeongea vizuri,nipe evidence wapi nilipoteleza,vinginevyo IT STANDS STILL.LABDA TATIZO INFORMATION ILIKUWA INCOMPLETE.........au aaaah,naanza KUELEWA kwa hiyo inamaa na inawezekana story nyingi za humu WANA jf wanatunga tunga tu?? nieleze mkuu maana wewe ni mwenyeji hapa JF kuliko mimi.

Kaka Tall asante sana kwa thread yako nzuri ingawa wadau wamekuandama lakini nadhani ulikuwa na nia njema tu kuwa watu tujifunze kutokana na mkasa huo.(bila kujali kama ulitokea kweli au la)
wewe umesimuliwa na hukusita kutumwagia hapa. kazi nzuri sana Tall. usikate tamaa.
 
Namba zao za simu je? Ina maana kila mmoja alikuwa anatumia line ya siri ambayo haiujulikani kwa mwenzake? Yaweza kuwa kweli ila logic hamna hapa. Stori za kutunga tuziacheni zitatupotezea mda, watu hapa wa rear stories za kusisimua sana lakini bado hawajaona haja ya kuzianika, wewe unatuletea za kutunga? No thank you!
SAWA MKUU NIMESHAJIBU KUWA JAMAA ALITUMIA NAMBA NYINGINE ISIYOJULIKANA KWA MKEWE NA MKEWE BAADA YA MAWASILIANO KWENYE MTANDAO KUMSITUA AKAONA ATUMIE NAMBA YA SHOGA YAKE ILIPOTOKEA SWALA LA KUPEANA NAMBA ZA SIMU ILI WAKUTANE
TOA HOJA kwa nini huamini?halafu mkuu unanihudhunisha sana mimi jamaa yangu leo anamawazo kibao na anasema hajui kama vitabu leo kule kazini kwake benki vita balance.....nilichomwambia ni kuwa visipo balance hiyo tofauti aiweke kwenye suspense account hadi jumatatu.
 
SAWA MKUU NIMESHAJIBU KUWA JAMAA ALITUMIA NAMBA NYINGINE ISIYOJULIKANA KWA MKEWE NA MKEWE BAADA YA MAWASILIANO KWENYE MTANDAO KUMSITUA AKAONA ATUMIE NAMBA YA SHOGA YAKE ILIPOTOKEA SWALA LA KUPEANA NAMBA ZA SIMU ILI WAKUTANE
TOA HOJA kwa nini huamini?halafu mkuu unanihudhunisha sana mimi jamaa yangu leo anamawazo kibao na anasema hajui kama vitabu leo kule kazini kwake benki vita balance.....nilichomwambia ni kuwa visipo balance hiyo tofauti aiweke kwenye suspense account hadi jumatatu.

melezo yako yamepwaya sana...hata nikikuuliza, kwnini ishu iwe kwa mume tu wakakti na mke nae kacheza rafu?
 
Kaka Tall asante sana kwa thread yako nzuri ingawa wadau wamekuandama lakini nadhani ulikuwa na nia njema tu kuwa watu tujifunze kutokana na mkasa huo.(bila kujali kama ulitokea kweli au la)
wewe umesimuliwa na hukusita kutumwagia hapa. kazi nzuri sana Tall. usikate tamaa.
ASANTE SANA MWANZA....KUNIPA MOYO WAKATI HUU WA MAJONZI NA HUZUNI,HAWA AKINA TOMASO( Yule wa kwenye biblia ambae hakuamini yesu kafufuka hadi alipoona makovu ya yesu ndio akaamini) WAPO WENGI MIMI NINAO HAWA HADI WAAMINI..........NA NILISHAWASAMEHE WOTE.
 
Kaka Tall asante sana kwa thread yako nzuri ingawa wadau wamekuandama lakini nadhani ulikuwa na nia njema tu kuwa watu tujifunze kutokana na mkasa huo.(bila kujali kama ulitokea kweli au la)
wewe umesimuliwa na hukusita kutumwagia hapa. kazi nzuri sana Tall. usikate tamaa.

hakuna anaemwandama bwana, kama thread imepwaya watu wasihoji?
 
Back
Top Bottom