Najuta, nilitembea na mke wa jirani yangu nafsi inanisuta sana

kiroka

JF-Expert Member
Feb 28, 2018
355
1,856
Wakati nahamia mtaani ninapoishi nikiwa na mke wangu na mtoto wangu wa miaka miwili nilimkuta jamaa jirani yangu nae anaishi na mkewe na mtoto wao mdogo wa mwaka miaka miwili hivi, wakati huo mke wangu alikua mama wa nyumbani na mke wa jamaa nae alikua mama wa nyumbani

Kiuchumi jirani alikua njema kiasi kuliko Mimi, wake zetu wakawa marafiki bila Mimi na mwanaume jirani yangu kufahamiana kwa vile mimi nlikua natoka asubuhi kurudi jioni na jirani yangu hvo hivo

Kwa vile watoto wetu walikua wanalingana ikawa mchana wanacheza pamoja na km jpili nikishinda nyumbn au nikiwahi kurudi nyumban nilikua namkuta mtoto wa jirani nyumbni kwangu wakati mwingine mke wa jirani alikua anamfuata mwanae kwangu nikapata kumfahamu na kumuona vizuri alikua mzuri kiasi chake sema tako alikua nalo mimi dhaifu saana kwenye makalio, sikua na mazoea nae zaidi ya salam na ni utamaduni wangu sinaga shobo wala mazoea na majirani na mtaani kwangu wife na wanangu ndo wanafahamika kuliko Mimi.

Huyu mwanaume jirani yangu ni mtu wa pombe na mademu saana anachelewa kurudi nyumban mara arudi saa nane usiku mara asubuhi haya niliyafam baada ya mke wa jirani yangu kumwambia mke wangu bora mumeo anawahi kurudi hata kucheza na kula chakula cha usiku na familia kuliko mume wangu anarudi usiku mwingi siku nyingine anarud asubuhi.

Ikatokea msiba hapa jirani ikabidi asubh niende mishe alaf mchana ni rudi nyumban kuzika ndo kwa mara ya kwanza nikfahamu huyu jirani yngu mwanaume jamaa mpole sana mstaraabu sana tukatambulishana Mimi baba flani na yeye baba flani maisha yakaanzia hapo tukabalishana namba za simu na maisha yakaendelea

Siku moja usiku kama.saa nane usiku ukatokea ugomvi mkubwa kweli kati ya jirani yangu na mkewe wakapigana saana mke wa jamaa akaimbilia kwangu kuomba msaada tukaamka mimi na wife mara jamaa nae akaja kwangu nikawabeba usiku kuwarudisha kwao tukafika tukaongea nikawasihi waache ugomvi wakanielewa nikarudi kwangu na wife tikawaacha kwao

Asubuhi jamaa akanitafuta akaniomba radhi kwa kilichotokea jana yake tukaongea kiume nikamwambia jinsi ya kubalance kati ya washkaji kwenye pombe na nyumbani kwake

Haikusaidia kitu ugomvi ukawa unaendelea siku kwa siku nikamwambia wife tuachane nao hawa ni watu wazima wameona wanajuana wasituumize vichwa tuwaache wauane sisi tutawasaifia police wakitak ushirikiano lakin kwa sasa tu focus na maisha yetu

Basi kipindi flani wife akawa amesafir kwenda kaskazini kwa ajili ya sherehe za mwisho wa mwaka siku moja usiku kama sikosei ilikua ni siku ya Christmas au mwaka mpya nimerudi nyumbani mapema tu saa moja nikampita mke wa jirani nje kwao nikamsalimia nikaingia zangu kwangu ndani nikaoga nikal nikalala

Usiku kama saa tano au sita kasoro mke wa jirani akaja kwangu kugonga analia eti mtoto wake anaumwa saana homa na ndani hana hata panadol na baba yake anampikia simu hapatikani akaniomba kama kuna dawa zozote ndani za mtoto nimpe wakati huo anajua wife kasafiri kweli nikaamka nikampa baada ya muda akarud anadai mtoto kachemka balaa hadi anaingiwa na wasi wasi wakati huo kaja na mtoto huku mtoto analia balaa

Nikambeba nikawapeleka kwao nikawa nimekaa seblen kwa nafany mawasiliano tupate usafr twend hospital ndani nikakumbuka ndani kwangu kuna kidawa cha asili cha kpa.mtoto hata kama ana homa inatuliza nikaenda kumchulia nikampa baada kama ya.dakika kumi mtoto akalala, alivolala nikamwita mama mtu aje amchukue akamlaze na wakat.huo homa ikawa imeshuka kiasi.

Ajamchukua mtoto akamlaza kwenye kochi nikatoka mpak nje wakat huo imefika saa saba ucku wakati nikawa nje akaniita baba flani samahani naomba urudi nikarudi kuingia tena sebleni akanishka mkono akanivuta mpak jikoni kwao akaanza kulia nikamuuliza unalia nini akaanza kinisifia oooh mke wako amepata mume sijui mimi nmikosea wapi mwanaume gan mpka saiv hajarud kidgo akanikumbatie nokajikut mkono umemshika takoni kumbe ndani hakuvaa kitu zaidi ya kile kitenge na ule ulain wa tako nikajikut kichwa cha chini tayr kipo kwa ajili ya mapambano

Nikamwambia shem sina condom na ni hatar umu.ndani akachomoka faster akaenda kufung mlango.mkubwa wakat huo sina akili hata moja kwa ulain wa lile trako nikajikuta nimekua zezeta gafla na uwezo wangu wa kuamua ukawa upo chini sana ukizingatoa wife kasafiri ni a ugwadu nikasema potelea mbali inzi kufia kwenye kidonda.

Akaenda ndani akaja na mafuta mgando akanipak kwenye nanii hii eee mchezo ukaishia hapo
Nikajikuta moyo unaniuma nikimchek wife na jamaa anavonieshim tunavoeshomian najiona msaliti sifai

Kwa sasa jamaa kaachana na yule dada bado anatak mchezo mi namkaushia anakuja nyumbn kumsalimia wife na ni marafiki lakin mim bdo nafc inaniuma nikikumbk ule ushenzi niloufanya.

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
 
Katika kitu najivunia. Na uhuni wote niliofanya na ninaondelea kufanya. MKE WA MTU ni off limits. Hawa wanakuja na laana na addiction sio ya kitoto na ukifikiria mke wako akiliwa the pain you will go through ni an imaginable. Mimi sizoeni kabisa na mke wa mtu. Ni hatari sana. Wanakuja na mikosi, hujui mumewe kamuwekea tego gani. Kuna jamaa yangu alikuwa ndio mchezo wake, mpaka alimpakia mkongo mke wa mtu. Kumbe yule mume anaimani za kishirikina aisee.

Jamaa mambo yake ya biashara yakaanza kwenda kombo balaaa yaani ghafhla bin vuu akafirisika na kuanza kuuza mpaka vitu vya ndani. Sasa sijui ni coincidence au ni mikosi alizoa kwa yule mwanamke maana mume wa yule mwanamke nae alikuwa na mikosi mikosi tu.

Kuna pisi nyingi kali kinouma. Kuna totoz za 2000 huko ndio habari ya mjini. Yaani bongo mpaka uende kwa mke wa mtu basi wewe ni mzembe. Hilo ni kosa umefanya usirudie futa namba na mkeo akiwa mbali ni bora uende nae au hama hapo.
 
Wakati nahamia mtaani ninapoishi nikiwa na mke wangu na mtoto wangu wa miaka miwili nilimkuta jamaa jirani yangu nae anaishi na mkewe na mtoto wao mdogo wa mwaka miaka miwili hivi, wakati huo mke wangu alikua mama wa nyumbani na mke wa jamaa nae alikua mama wa nyumbani

Kiuchumi jirani alikua njema kiasi kuliko Mimi, wake zetu wakawa marafiki bila Mimi na mwanaume jirani yangu kufahamiana kwa vile mimi nlikua natoka asubuhi kurudi jioni na jirani yangu hvo hivo

Kwa vile watoto wetu walikua wanalingana ikawa mchana wanacheza pamoja na km jpili nikishinda nyumbn au nikiwahi kurudi nyumban nilikua namkuta mtoto wa jirani nyumbni kwangu wakati mwingine mke wa jirani alikua anamfuata mwanae kwangu nikapata kumfahamu na kumuona vizuri alikua mzuri kiasi chake sema tako alikua nalo mimi dhaifu saana kwenye makalio, sikua na mazoea nae zaidi ya salam na ni utamaduni wangu sinaga shobo wala mazoea na majirani na mtaani kwangu wife na wanangu ndo wanafahamika kuliko Mimi.

Huyu mwanaume jirani yangu ni mtu wa pombe na mademu saana anachelewa kurudi nyumban mara arudi saa nane usiku mara asubuhi haya niliyafam baada ya mke wa jirani yangu kumwambia mke wangu bora mumeo anawahi kurudi hata kucheza na kula chakula cha usiku na familia kuliko mume wangu anarudi usiku mwingi siku nyingine anarud asubuhi.

Ikatokea msiba hapa jirani ikabidi asubh niende mishe alaf mchana ni rudi nyumban kuzika ndo kwa mara ya kwanza nikfahamu huyu jirani yngu mwanaume jamaa mpole sana mstaraabu sana tukatambulishana Mimi baba flani na yeye baba flani maisha yakaanzia hapo tukabalishana namba za simu na maisha yakaendelea

Siku moja usiku kama.saa nane usiku ukatokea ugomvi mkubwa kweli kati ya jirani yangu na mkewe wakapigana saana mke wa jamaa akaimbilia kwangu kuomba msaada tukaamka mimi na wife mara jamaa nae akaja kwangu nikawabeba usiku kuwarudisha kwao tukafika tukaongea nikawasihi waache ugomvi wakanielewa nikarudi kwangu na wife tikawaacha kwao

Asubuhi jamaa akanitafuta akaniomba radhi kwa kilichotokea jana yake tukaongea kiume nikamwambia jinsi ya kubalance kati ya washkaji kwenye pombe na nyumbani kwake

Haikusaidia kitu ugomvi ukawa unaendelea siku kwa siku nikamwambia wife tuachane nao hawa ni watu wazima wameona wanajuana wasituumize vichwa tuwaache wauane sisi tutawasaifia police wakitak ushirikiano lakin kwa sasa tu focus na maisha yetu

Basi kipindi flani wife akawa amesafir kwenda kaskazini kwa ajili ya sherehe za mwisho wa mwaka siku moja usiku kama sikosei ilikua ni siku ya Christmas au mwaka mpya nimerudi nyumbani mapema tu saa moja nikampita mke wa jirani nje kwao nikamsalimia nikaingia zangu kwangu ndani nikaoga nikal nikalala

Usiku kama saa tano au sita kasoro mke wa jirani akaja kwangu kugonga analia eti mtoto wake anaumwa saana homa na ndani hana hata panadol na baba yake anampikia simu hapatikani akaniomba kama kuna dawa zozote ndani za mtoto nimpe wakati huo anajua wife kasafiri kweli nikaamka nikampa baada ya muda akarud anadai mtoto kachemka balaa hadi anaingiwa na wasi wasi wakati huo kaja na mtoto huku mtoto analia balaa

Nikambeba nikawapeleka kwao nikawa nimekaa seblen kwa nafany mawasiliano tupate usafr twend hospital ndani nikakumbuka ndani kwangu kuna kidawa cha asili cha kpa.mtoto hata kama ana homa inatuliza nikaenda kumchulia nikampa baada kama ya.dakika kumi mtoto akalala, alivolala nikamwita mama mtu aje amchukue akamlaze na wakat.huo homa ikawa imeshuka kiasi.

Ajamchukua mtoto akamlaza kwenye kochi nikatoka mpak nje wakat huo imefika saa saba ucku wakati nikawa nje akaniita baba flani samahani naomba urudi nikarudi kuingia tena sebleni akanishka mkono akanivuta mpak jikoni kwao akaanza kulia nikamuuliza unalia nini akaanza kinisifia oooh mke wako amepata mume sijui mimi nmikosea wapi mwanaume gan mpka saiv hajarud kidgo akanikumbatie nokajikut mkono umemshika takoni kumbe ndani hakuvaa kitu zaidi ya kile kitenge na ule ulain wa tako nikajikut kichwa cha chini tayr kipo kwa ajili ya mapambano

Nikamwambia shem sina condom na ni hatar umu.ndani akachomoka faster akaenda kufung mlango.mkubwa wakat huo sina akili hata moja kwa ulain wa lile trako nikajikuta nimekua zezeta gafla na uwezo wangu wa kuamua ukawa upo chini sana ukizingatoa wife kasafiri ni a ugwadu nikasema potelea mbali inzi kufia kwenye kidonda.

Akaenda ndani akaja na mafuta mgando akanipak kwenye nanii hii eee mchezo ukaishia hapo
Nikajikuta moyo unaniuma nikimchek wife na jamaa anavonieshim tunavoeshomian najiona msaliti sifai

Kwa sasa jamaa kaachana na yule dada bado anatak mchezo mi namkaushia anakuja nyumbn kumsalimia wife na ni marafiki lakin mim bdo nafc inaniuma nikikumbk ule ushenzi niloufanya.

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Naomba namba yake nikusaidie ku undo.
 
Katika kitu najivunia. Na uhuni wote niliofanya na ninaondelea kufanya. MKE WA MTU ni off limits. Hawa wanakuja na laana na addiction sio ya kitoto na ukifikiria mke wako akiliwa the pain you will go through ni an imaginable. Mimi sizoeni kabisa na mke wa mtu. Ni hatari sana. Wanakuja na mikosi, hujui mumewe kamuwekea tego gani. Kuna jamaa yangu alikuwa ndio mchezo wake, mpaka alimpakia mkongo mke wa mtu. Kumbe yule mume anaimani za kishirikina aisee.

Jamaa mambo yake ya biashara yakaanza kwenda kombo balaaa yaani ghafhla bin vuu akafirisika na kuanza kuuza mpaka vitu vya ndani. Sasa sijui ni coincidence au ni mikosi alizoa kwa yule mwanamke maana mume wa yule mwanamke nae alikuwa na mikosi mikosi tu.

Kuna pisi nyingi kali kinouma. Kuna totoz za 2000 huko ndio habari ya mjini. Yaani bongo mpaka uende kwa mke wa mtu basi wewe ni mzembe. Hilo ni kosa umefanya usirudie futa namba na mkeo akiwa mbali ni bora uende nae au hama hapo.
Kweli wake za watu ukizini nao unapata mikosi sana,
 
Wakati nahamia mtaani ninapoishi nikiwa na mke wangu na mtoto wangu wa miaka miwili nilimkuta jamaa jirani yangu nae anaishi na mkewe na mtoto wao mdogo wa mwaka miaka miwili hivi, wakati huo mke wangu alikua mama wa nyumbani na mke wa jamaa nae alikua mama wa nyumbani

Kiuchumi jirani alikua njema kiasi kuliko Mimi, wake zetu wakawa marafiki bila Mimi na mwanaume jirani yangu kufahamiana kwa vile mimi nlikua natoka asubuhi kurudi jioni na jirani yangu hvo hivo

Kwa vile watoto wetu walikua wanalingana ikawa mchana wanacheza pamoja na km jpili nikishinda nyumbn au nikiwahi kurudi nyumban nilikua namkuta mtoto wa jirani nyumbni kwangu wakati mwingine mke wa jirani alikua anamfuata mwanae kwangu nikapata kumfahamu na kumuona vizuri alikua mzuri kiasi chake sema tako alikua nalo mimi dhaifu saana kwenye makalio, sikua na mazoea nae zaidi ya salam na ni utamaduni wangu sinaga shobo wala mazoea na majirani na mtaani kwangu wife na wanangu ndo wanafahamika kuliko Mimi.

Huyu mwanaume jirani yangu ni mtu wa pombe na mademu saana anachelewa kurudi nyumban mara arudi saa nane usiku mara asubuhi haya niliyafam baada ya mke wa jirani yangu kumwambia mke wangu bora mumeo anawahi kurudi hata kucheza na kula chakula cha usiku na familia kuliko mume wangu anarudi usiku mwingi siku nyingine anarud asubuhi.

Ikatokea msiba hapa jirani ikabidi asubh niende mishe alaf mchana ni rudi nyumban kuzika ndo kwa mara ya kwanza nikfahamu huyu jirani yngu mwanaume jamaa mpole sana mstaraabu sana tukatambulishana Mimi baba flani na yeye baba flani maisha yakaanzia hapo tukabalishana namba za simu na maisha yakaendelea

Siku moja usiku kama.saa nane usiku ukatokea ugomvi mkubwa kweli kati ya jirani yangu na mkewe wakapigana saana mke wa jamaa akaimbilia kwangu kuomba msaada tukaamka mimi na wife mara jamaa nae akaja kwangu nikawabeba usiku kuwarudisha kwao tukafika tukaongea nikawasihi waache ugomvi wakanielewa nikarudi kwangu na wife tikawaacha kwao

Asubuhi jamaa akanitafuta akaniomba radhi kwa kilichotokea jana yake tukaongea kiume nikamwambia jinsi ya kubalance kati ya washkaji kwenye pombe na nyumbani kwake

Haikusaidia kitu ugomvi ukawa unaendelea siku kwa siku nikamwambia wife tuachane nao hawa ni watu wazima wameona wanajuana wasituumize vichwa tuwaache wauane sisi tutawasaifia police wakitak ushirikiano lakin kwa sasa tu focus na maisha yetu

Basi kipindi flani wife akawa amesafir kwenda kaskazini kwa ajili ya sherehe za mwisho wa mwaka siku moja usiku kama sikosei ilikua ni siku ya Christmas au mwaka mpya nimerudi nyumbani mapema tu saa moja nikampita mke wa jirani nje kwao nikamsalimia nikaingia zangu kwangu ndani nikaoga nikal nikalala

Usiku kama saa tano au sita kasoro mke wa jirani akaja kwangu kugonga analia eti mtoto wake anaumwa saana homa na ndani hana hata panadol na baba yake anampikia simu hapatikani akaniomba kama kuna dawa zozote ndani za mtoto nimpe wakati huo anajua wife kasafiri kweli nikaamka nikampa baada ya muda akarud anadai mtoto kachemka balaa hadi anaingiwa na wasi wasi wakati huo kaja na mtoto huku mtoto analia balaa

Nikambeba nikawapeleka kwao nikawa nimekaa seblen kwa nafany mawasiliano tupate usafr twend hospital ndani nikakumbuka ndani kwangu kuna kidawa cha asili cha kpa.mtoto hata kama ana homa inatuliza nikaenda kumchulia nikampa baada kama ya.dakika kumi mtoto akalala, alivolala nikamwita mama mtu aje amchukue akamlaze na wakat.huo homa ikawa imeshuka kiasi.

Ajamchukua mtoto akamlaza kwenye kochi nikatoka mpak nje wakat huo imefika saa saba ucku wakati nikawa nje akaniita baba flani samahani naomba urudi nikarudi kuingia tena sebleni akanishka mkono akanivuta mpak jikoni kwao akaanza kulia nikamuuliza unalia nini akaanza kinisifia oooh mke wako amepata mume sijui mimi nmikosea wapi mwanaume gan mpka saiv hajarud kidgo akanikumbatie nokajikut mkono umemshika takoni kumbe ndani hakuvaa kitu zaidi ya kile kitenge na ule ulain wa tako nikajikut kichwa cha chini tayr kipo kwa ajili ya mapambano

Nikamwambia shem sina condom na ni hatar umu.ndani akachomoka faster akaenda kufung mlango.mkubwa wakat huo sina akili hata moja kwa ulain wa lile trako nikajikuta nimekua zezeta gafla na uwezo wangu wa kuamua ukawa upo chini sana ukizingatoa wife kasafiri ni a ugwadu nikasema potelea mbali inzi kufia kwenye kidonda.

Akaenda ndani akaja na mafuta mgando akanipak kwenye nanii hii eee mchezo ukaishia hapo
Nikajikuta moyo unaniuma nikimchek wife na jamaa anavonieshim tunavoeshomian najiona msaliti sifai

Kwa sasa jamaa kaachana na yule dada bado anatak mchezo mi namkaushia anakuja nyumbn kumsalimia wife na ni marafiki lakin mim bdo nafc inaniuma nikikumbk ule ushenzi niloufanya.

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Mmh! we kaka Huyo Mwanamke alipaka Mafuta wapi na wapi na umesema ulushika Tako
 
Katika kitu najivunia. Na uhuni wote niliofanya na ninaondelea kufanya. MKE WA MTU ni off limits. Hawa wanakuja na laana na addiction sio ya kitoto na ukifikiria mke wako akiliwa the pain you will go through ni an imaginable. Mimi sizoeni kabisa na mke wa mtu. Ni hatari sana. Wanakuja na mikosi, hujui mumewe kamuwekea tego gani. Kuna jamaa yangu alikuwa ndio mchezo wake, mpaka alimpakia mkongo mke wa mtu. Kumbe yule mume anaimani za kishirikina aisee.

Jamaa mambo yake ya biashara yakaanza kwenda kombo balaaa yaani ghafhla bin vuu akafirisika na kuanza kuuza mpaka vitu vya ndani. Sasa sijui ni coincidence au ni mikosi alizoa kwa yule mwanamke maana mume wa yule mwanamke nae alikuwa na mikosi mikosi tu.

Kuna pisi nyingi kali kinouma. Kuna totoz za 2000 huko ndio habari ya mjini. Yaani bongo mpaka uende kwa mke wa mtu basi wewe ni mzembe. Hilo ni kosa umefanya usirudie futa namba na mkeo akiwa mbali ni bora uende nae au hama hapo.
We jamaanimekuelewa sana. Ukae ukijua ukiwa unadinya wake za watu hata ukigundua mkeo anadinywa nafsi inakusuta ingawaje unakuwa mbogo lakini moyoni nafsi inakuambia mbona wewe unakula mbususuza wake za watu? Lakini ukijilia vitoto vya mtaani ujasili unakuwepo wa kukemea.Halafu natoa angalizo sikuizi mpaka vitoto vya 2005 vinalika jamani wake za watu wa nini?
 
We jamaanimekuelewa sana. Ukae ukijua ukiwa unadinya wake za watu hata ukigundua mkeo anadinywa nafsi inakusuta ingawaje unakuwa mbogo lakini moyoni nafsi inakuambia mbona wewe unakula mbususuza wake za watu? Lakini ukijilia vitoto vya mtaani ujasili unakuwepo wa kukemea.Halafu natoa angalizo sikuizi mpaka vitoto vya 2005 vinalika jamani wake za watu wa nini?

Kabisa. Mimi nina ka 2004 very portable mtamu balaa hana invoice kubwa sana. Ni vihela vidogo vidogo. Sasa wewe unaenda paramia mtu ambae ashatolewa mahari watu washakula pilau etc. Stress tupu.
 
Pole sana ila ili nafsi yako ipate ahueni weka kikao cha jirani na mkeo uwaambie ukweli. Hapo ndipo utapata nafuu la sivyo dhambi hii itakutafuna sana. .

Ili usamehewe dhambi lazima utubu na ulipe fadhila🙂
 
Back
Top Bottom