Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,863
- 93,638
Naunga mkono hoja
Haya ......si waliondoka mbona wamerudi tena.
tunaelekea kwenye miaka hamsini ya uhuruKitendo cha Mh' Makonda kuwaondoa hawa jamaa ni cha kupongezwa maana mji kidogo ugeuke kuwa Kampala, ingawa na huko majuzi wametimuliwa mitaani na kuzusha vurugu kubwa, lakini haya mambo yanachangiwa na viongozi kutokuwa proactive, wanafumbia macho uvunjifu wa sheria halafu wanakurupuka wakati mambo yameshaotamizizi, mifano ni ujenzi kwenye maeneo yabarabara, mabondeni n.k, lini tutajifunza kutokana na makosa wakati tunaelekea yetu miaka 50 baada ya uhuru,?! Ndio maana namshauri mkuu wa mkoa avuje manispaa hizi zinazoendeshwa kitapeli na posho za vikao vya madiwani na badala yake aunde mamlaka ya jiji au wizara kamili ya jiji la daresalaam kama ilivyo Nairobi. Mji huu unataka direct administration sio kwa mfumo huu uliopo haufai,
wee unaweza kushangaa kuwa huyu mzee unayedhania kuwa anajaribiwa kashapiga simu kumpongezaMakonda anamjaribu mzee.. si alishasema waachwe? nasikia majuzi kidogo waue tena pale Msimbazi
Dodoma ni Mji mkuu so Omba dar ndio panawafaa...Yeye ni zaid ya rais aliyesema wakae?.....
Makonda sio credible leader .....
Maagizo yake hayatekelezeki........
Aje na mlejesho ni omba omba wangapi wamerudishwa Dodoma?.....
Bila hivyo bado nitaamini yupo kwenye kundi la watu wanne........
Hili ni swali mujarabu. Pia sio shughuli ya umachinga tu, bali pia udereva na ukonda wa daladala, udereva wa taxi, bajaj, na bodaboda, nk. Ninafikiri kiutamaduni wa kitz, kuna mganyo wa kazi kijinsia za kujitafutia maisha. Mimi nimekuwa nikijiuliza je wasomi wa UDSM hakuna ambaye amelifanyia utafiti hata wa tasnifu ya uzamili au uzamivu na ku-document historia yake, umachinga uliibukaje, ulishamirije, tuko wapi na tunaelekea wapi? Utafiti kama huu unaweza kuwasaidia wanasiasa/watawala wetu kufanya maamuzi ya busara na yenye tija.Wamachinga wengi ni vijana wa kiume ambao wengi ni wa kiume ambao hawana 'kazi'...hivi vijana wa kike wasio na kazi huishia wapi????? (NB:...swali langu ni la uchokozi).....