mzee alpha
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 711
- 264
Maeneo gani hayo yatakayokuwa tayari kwa siku 14 na ya katikati ya jiji rais alisema kila MTU ana haki kuwa katikati ya jiji
Kwani wewe hujui kuwa yeye ndiye Rais mdogo, Kama huamini subuli uone wakuu wa mikoa nchi nzima watakavyokulupuka kufukuza machingahivi mtukufu raisi si alisema wamachinga wasibugudhiwe???