Suzy Elias
JF-Expert Member
- Nov 9, 2021
- 1,067
- 6,193
"...ifikie hatua CCM kisitegemee wasanii kuleta watu wa kukisikiliza kwenye mikutano yake. Kusema hivyo si kwamba CCM hakiwahitaji wasanii tena bali ni muhimu sasa CCM kitimize wajibu wake wa kutekeleza sera na kwalo itawavutia Wananchi kuja kuwasikiliza Viongozi wa chama. NDIYO MAANA MIMI SITUMII WASANII KUJA KWENYE MIKUTANO YANGU."
Makonda.
Makonda.