Sifanyi mikutano ya kujaza watu kwa kutumia wasanii kwasababu tunataka kuona uhai wa CCM na jumuiya zake - Mwenezi Makonda

Nigrastratatract nerve

JF-Expert Member
Sep 4, 2019
1,398
3,907
📌📌 SIFANYI MIKUTANO YA KUJAZA WATU KWA KUTUMIA WASANII KWASABABU TUNATAKA KUONA UHAI WA CCM NA JUMUIYA ZAKE - MWENEZI MAKONDA

Asema CCM Inawapenda na Kuwajali Wasanii lakini kwasasa ni muhimu kuona Uhai wa Chama, Wasanii wataburudisha kipindi cha kampeni

Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Itikadi, Uenezi na Mafunzo Ndugu. Paul Makonda amebainisha kuwa hatopenda kuona CCM inahangaika kuombaomba kura bali anachokihitaji ni kuona Chama Cha Mapinduzi kinaendelea kujipambanua kwa usimamizi mzuri wa utekelezaji wa Ilani yake na hatimaye kuendelea kujenga imani kubwa kwa Watanzania.

Mwenezi Makonda ameyasema hayo tarehe 20 Januari, 2024 akizungumza na Baraza la Wazee wa Tanga katika hafla fupi ya kula chakula cha usiku kwa pamoja.

Aidha, Mwenezi Makonda amesema hatopenda kuona kwasasa mikutano ya CCM inatumika kujaza watu kwa kutumia Wasanii na badala yake ijaze kutokana na kujipambanua kwa kazi na sera zake.

" Sitaki kufanya mikutano ya kujaza wasanii kwasababu nataka kuona uhai wa Chama Cha Mapinduzi na sio kujaza mikutano kwa kutumia wasanji, kusema hivi haimaanishi CCM hatupendi wasanii...hapana ni watu wetu na tunawapenda na tunatambua na wao wanaipenda CCM lakini kwasasa ni wakati wa kuchapa kazi na wakati wa burudani utafika huko mbeleni kipindi cha kampeni "

" Lazima tujipime tuone Chama Cha Mapinduzi tupoje na ndio tutaweza kumsaidia kazi Mwenyekiti wetu na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan katika kuona Uhai wa Chama na Jumuiya zake "

Hayo yamesemwa na Mwenezi Ndugu. Paul Makonda.

#CCMKazini
#VitendoVinaSauti
#KaziIendelee


PIA, SOMA:

Matamko mengine ya Paul Makonda
 
Daudi sio mtu wa KUBEZA
Na kweli kwa hili sondo siyo wa kubezwa kabisa
Screenshot_20231111_190308_Google~2.jpg
 
Huyu Mtu anabezwa tu Wahuni ila Mungu amempa Kibali, Tazama Kila anachozungumza ndicho ambacho Mwananchi mwenye akili anataka kusikia.
 
SIFANYI MIKUTANO YA KUJAZA WATU KWA KUTUMIA WASANII KWASABABU TUNATAKA KUONA UHAI WA CCM NA JUMUIYA ZAKE - MWENEZI MAKONDA

Asema CCM Inawapenda na Kuwajali Wasanii lakini kwasasa ni muhimu kuona Uhai wa Chama, Wasanii wataburudisha kipindi cha kampeni

Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Itikadi, Uenezi na Mafunzo Ndugu. Paul Makonda amebainisha kuwa hatopenda kuona CCM inahangaika kuombaomba kura bali anachokihitaji ni kuona Chama Cha Mapinduzi kinaendelea kujipambanua kwa usimamizi mzuri wa utekelezaji wa Ilani yake na hatimaye kuendelea kujenga imani kubwa kwa Watanzania.

Mwenezi Makonda ameyasema hayo tarehe 20 Januari, 2024 akizungumza na Baraza la Wazee wa Tanga katika hafla fupi ya kula chakula cha usiku kwa pamoja.

Aidha, Mwenezi Makonda amesema hatopenda kuona kwasasa mikutano ya CCM inatumika kujaza watu kwa kutumia Wasanii na badala yake ijaze kutokana na kujipambanua kwa kazi na sera zake.

" Sitaki kufanya mikutano ya kujaza wasanii kwasababu nataka kuona uhai wa Chama Cha Mapinduzi na sio kujaza mikutano kwa kutumia wasanji, kusema hivi haimaanishi CCM hatupendi wasanii...hapana ni watu wetu na tunawapenda na tunatambua na wao wanaipenda CCM lakini kwasasa ni wakati wa kuchapa kazi na wakati wa burudani utafika huko mbeleni kipindi cha kampeni "

" Lazima tujipime tuone Chama Cha Mapinduzi tupoje na ndio tutaweza kumsaidia kazi Mwenyekiti wetu na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan katika kuona Uhai wa Chama na Jumuiya zake "

Hayo yamesemwa na Mwenezi Ndugu. Paul Makonda.

#CCMKazini
#VitendoVinaSauti
#KaziIendelee
Sukuma gang kazini kwa posho ya buku 7
 
Mbona anampigia dongo mama Samiah anayejaza wasanii kwenye mikutano yake. All in all hakuna la maana CCM.
 
📌📌 SIFANYI MIKUTANO YA KUJAZA WATU KWA KUTUMIA WASANII KWASABABU TUNATAKA KUONA UHAI WA CCM NA JUMUIYA ZAKE - MWENEZI MAKONDA

Asema CCM Inawapenda na Kuwajali Wasanii lakini kwasasa ni muhimu kuona Uhai wa Chama, Wasanii wataburudisha kipindi cha kampeni

Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Itikadi, Uenezi na Mafunzo Ndugu. Paul Makonda amebainisha kuwa hatopenda kuona CCM inahangaika kuombaomba kura bali anachokihitaji ni kuona Chama Cha Mapinduzi kinaendelea kujipambanua kwa usimamizi mzuri wa utekelezaji wa Ilani yake na hatimaye kuendelea kujenga imani kubwa kwa Watanzania.

Mwenezi Makonda ameyasema hayo tarehe 20 Januari, 2024 akizungumza na Baraza la Wazee wa Tanga katika hafla fupi ya kula chakula cha usiku kwa pamoja.

Aidha, Mwenezi Makonda amesema hatopenda kuona kwasasa mikutano ya CCM inatumika kujaza watu kwa kutumia Wasanii na badala yake ijaze kutokana na kujipambanua kwa kazi na sera zake.

" Sitaki kufanya mikutano ya kujaza wasanii kwasababu nataka kuona uhai wa Chama Cha Mapinduzi na sio kujaza mikutano kwa kutumia wasanji, kusema hivi haimaanishi CCM hatupendi wasanii...hapana ni watu wetu na tunawapenda na tunatambua na wao wanaipenda CCM lakini kwasasa ni wakati wa kuchapa kazi na wakati wa burudani utafika huko mbeleni kipindi cha kampeni "

" Lazima tujipime tuone Chama Cha Mapinduzi tupoje na ndio tutaweza kumsaidia kazi Mwenyekiti wetu na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan katika kuona Uhai wa Chama na Jumuiya zake "

Hayo yamesemwa na Mwenezi Ndugu. Paul Makonda.

#CCMKazini
#VitendoVinaSauti
#KaziIendelee
Kwa Makonda upo na Makonda anamtetea Rais ila Kwa Samia haupo 🤣🤣

We Suku gang huna unalolijua.
 
Back
Top Bottom