Uso wa nyoka
JF-Expert Member
- Mar 17, 2014
- 4,791
- 2,372
Ukikizoeza kiungo cha mwili kufanya shuruba ya a in a Fulani au dhoruba, calcium hujijenga katika eneo husika na kukifanya kiwe kigumu.
Pia kuna vitu vingine ambavyo humfanya akomae na kuwa imara kiasi hicho ambavyo sio sawa kuviweka hapa labda wahusika waamue kufanya hivyo.
Kwa kifupi ni kuwa hilo jambo linawezekana sana.
Pia kuna vitu vingine ambavyo humfanya akomae na kuwa imara kiasi hicho ambavyo sio sawa kuviweka hapa labda wahusika waamue kufanya hivyo.
Kwa kifupi ni kuwa hilo jambo linawezekana sana.